Haya matatizo yanasababishwa na Tanroads kwa kutokuweka vibao vya kutosha hasa maeneo ya Rombo na Bucha!! Mimi ninavyojua na ndio hivyo dunia nzima unaweza kufanya u turn kwenye Traffic lights ila kwa weledi wa wenzetu wanaona ni kosa kubwa!! Fikiria unatoka ubungo maziwa na unataka kiingia stendi ya mkoa kiuhalisia Gari zikiruhusiwa kwenda Mwenge unaweza kufanya U TURN!! Kwani hakuna hatari yoyote unayosababisha kiusalama!! Ila ndugu zetu wameona chanzo cha Mapato!! TANROADS MKOA MMEKWENDA SHULE TAFSIRINI SHERIA NA WEKENI VIBAO WATU WANATESEKA KWA UWEPO WA SHERIA ZA HISIA ;;;UJUMBE HUU UMFIKIE ENGINEER NDYAMKAMA NA TEAM YAKE!!! Huku rombo na bucha ni tatizo kubwa sana Jamani tunakwenda wapi na uonevu huu??