Traffic jam ili wanene wapite

Consultant

JF-Expert Member
Jun 15, 2008
11,401
20,661
Tupo kwenye foleni...two hours sasa. Foleni imeanzia Kibaha na huu mnyororo unaweza kuwa umefika mpaka Ubungo. Nimemuuliza traffic na anasema wanaandaa mazingira maana mzee anarudi kwake leo kutokea Dom. Unaweza kukuta hata Chalinze hajafika.

Tutapumua siku wote wakihamia Dodoma.
 
Kumbe anakuja kwa barabara, atachoka sana si angepaa afike haraka mzee wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom