Traffic atekwa jijini Dar...!

Polisi wa hii nchi sio wazima ni wachawi au walevi wa gongo! Wanajua maana ya kutekwa hawa? Wamuulize dr uli
 
Yule Nurse aliyetekwa alishapatikana, aliwa salama kabisa!
 

Askari una kitambi, unawezaje kuwadhibiti madereva?
 
Jamaa anastahili tuzo ya ujasiri
Hao traffic wanahangaika na vibajaj wanaacha milori na midaladala mibovu ikiua na kuvunja sheria.
 
Traffic hajui kazi yake, kisheria ni makosa kwa askari wa usalama barabarani kupanda kwenye kipando cha mtuhumiwa hata kama ana makosa, alichotakiwa kufanya ni kumsimamisha na endapo angekataa angetoa taarifa kwa wenzie na angenakili namba za hicho chombo kwa hatua zaidi za kiusalama!
 
Angekuwa wa kike, kama huyo kwenye picha, sijui ni kipi kingemtokea mbele ya safari mmmh !!
 
Mleta mada mpuuzi nani katekwa utekaji gani huo?
 
Huyu ni shdaa
akuna kutekwa hiyo ni trella msiidandie bajaji za watu bila maelewano
 

Nduo maana hapo juu nikasema traffic kajiteka mwenyewe...... alipanda kutafuta nini???
 
Na yeye sheria inamruhusu kudandia kipando kilichokataa kusimama...
 
hapa ndio nikikumbuka ile clip ya magaidi wa Tanga naanza kuamini kuwa TZ hakuna askari. bajaji hata ingekuwa mm sina mafunzo yoyote wala mazoezi ningempiga loba ya kufa mtu hadi asimamae mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…