TRA-Zile nafasi mia sita za TRA za wale diploma ziishia wapi?

Walishaitwa ndugu na walipigwa trainee ya wiki 4 tu na walioitwa hawafiki hata 20... Yaani kama ulikuwa na mtu ndi fasta kama huna basi tena...
 
Walishaitwa ndugu na walipigwa trainee ya wiki 4 tu na walioitwa hawafiki hata 20... Yaani kama ulikuwa na mtu ndi fasta kama huna basi tena...
Bongo kama Huna connection ni ngumu kupata ajira, unless uwe na Mungu tena anayejibu kwa Moto.
 
Back
Top Bottom