TRA yawanoa wafanyabiashara kodi Mabango na Majengo

Jembe Jembe

JF-Expert Member
Jun 9, 2016
749
1,797
Chama cha wafanyabiashara Mkoa wa Arusha (TCCIA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA )wameanza kuwanoa wafanyabiashara mkoa wa Arusha ili watambue umuhimu wa kulipa kodi ya majengo na mabango kwa mujibu wa sheria baada ya kuhamishiwa TRA.

Semina hiyo inayoendeshwa na Afisa elimu wa walipakodi (TRA )kanda ya Kaskazini, Eugenia Mkumbo, aliwataka wafanyabiashara hao kuzingatia matakwa ya serikali katika kuona umuhimu wa kulipia kodi ya mabango .

"Awali mabango yote yalikuwa yakilipiwa katika halmashauri lakini utaratibu Huo umebadilika kwani kila Mfanyabiashara kwa sasa mwenye bango atapaswa kulipa kodi TRA jambo litakalosaidia kupunguza utitiri wa mabango yanayoweza kugeuka uchafu" Alisema Mkumbo

Ameongeza kuwa manispaa itaendelea kutoa vibali Vya mabango kwa wafanyabiashara watakao kuwa wakiomba kutaka kuweka mabango kulingana na sheria inavyoelekeza.

IMG-20190530-WA0072.jpeg
images.jpeg
IMG-20190530-WA0073.jpeg
IMG-20190530-WA0076.jpeg
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    8.6 KB · Views: 17
Wameua printing
Ma Painter baada ya kukosekana kazi za kuandika mabango kutokana na watu kupigwa kodi za mabango wakaona isiwe taabu kufa njaa wakabuni urembaji wa mabasi, malori, bajaj na bodaboda kwa kutumia sticker na tinted. Riziki ikizibwa inatoakea kwingine na maisha yanaendelea. Ni kweli uandikaji wa mabango umepungua
 
Huko napo wanakuja
Ma Painter baada ya kukosekana kazi za kuandika mabango kutokana na watu kupigwa kodi za mabango wakaona isiwe taabu kufa njaa wakabuni urembaji wa mabasi, malori, bajaj na bodaboda kwa kutumia sticker na tinted. Riziki ikizibwa inatoakea kwingine na maisha yanaendelea. Ni kweli uandikaji wa mabango umepungua
 
Aiseee ukiajiliwa wanapo kusanywa fedha huwezi kuona uchungu unaona sifa za kupewa cheti cha utumwa hongereni kwa hilo
 
Back
Top Bottom