TRA yaongeza muda wa kulipa kodi ya Majengo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yaongeza muda wa kulipia kodi ya majengo hadi Julai 31 mwaka huu.
6584442c810c12dcf01def825af5b73f.jpg
 
SI WASEME TU NI ZOEZI ENDELEVU??MBONA KUWAPA WATU PRESHA??

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Sio kuongeza tu..waboreshe mfumo wa ulipaji...ni usumbufu..mambo ya kujazana na kusukumana kwenye foleni ni mambo ya karne nyingi zilizopita...mlipa kodi hapaswi kulipa kwa shida

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
 
Me niliwaona wapuuzi ati mtaa ilipo nyumba yangu haipo kwenye system zao nimeenda na hati bill za umeme na maji bado hawaoni kwenye system yao wakadai nilete picha za nyumba nilikuwa nimebeba wakadai nyumba unathamani gani nikawaambia bei ya miaka hiyo ati wakaanza kusikiliza wengine yaani usumbufu mkuu watu wamejaa hakuna utaratibu foleni kipuuzi tu... haiishi... kila kitu ni kukurupuka.. nimewaambia kama nyumba yangu hamuioni kwenu naenda zangu kodi mmeikosa na siku mkiamua kuja nitawalipa maana hamna haraka ya Kodi yenu.. kama fine ni bora kuliko upuuzi wa kupoteza siku kadhaa kwenye foleni... haki tunanunua nini fine
 
Jamani hivi ni kweli hii kodi inafikia 300000 .. Nyumba ya Bi Mkubwa ni ya kawaida ameambiwa ni hiyo kodi ...

Nipeni range ya kodi hizi

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Back
Top Bottom