zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,161
- 28,905
Duh nchi yetu kazi sana kwahyo if lisu is wrong automatically serikali ipo sahihi???? Duh kaz kwelikweli kma serikali ipo sahihi always mbona 40% ya watanzania hawana maji kabisa!!!! 40% hawana umeme kabisa!! Bajeti hutekelezeka mpaka 10% kwa wizara zingine lakini ni hao hao serikali ambao huwasilisha bajeti bungeni na kina lisu huipinga ila hakuna mwaka bajeti imetekelezeka kulingana na malengo then unatuaminisha the government is always right kisa lisu is wrong kuhusu VAT kwenye utalii??? Ndio reasoning ya wapi hiiunachoongea ni kweli mkuu,kunaweza kuwa na mapungufu sekta zote tra na hao wanasiasa wanao pinga hayo maamuzi "ILA NAAMINI SANA UPANDE WA SERIKALI KWA SABABU,HAO HAO AKINA LISU WALITUAMINISHA WAGENI WAMEPUNGUA KWENYE UTALII,BUT WHAT HAPPEN " Sasa kwa sie tusio na taaluma inabidi tu relay kwa serikali kwa hio simple fact.
Yani kati ya majuha wa kwanza nini wewe, hakuna siasa hapa watu wako kazi kama hamuelewi ulizeni BAVICHA mnatushoshaJamani....! kwa niaba ya Watanzania najitolea kuwaomba msamaha ninyi mnao fanya mambo ya ujuha kwa kiwango hiki. Mnatudhalilisha wenzenu,mtuonee huruma. Watanzania tunaonekana mfano wa binadamu ambaye hajakamilika. Tafadhali wakuu... Politics kwenye uchumi? serious....!
If you have ever invested on anything, you know that now is the time to buy Acacia shares when share prices are declining and because Acacia is likely to successfully show that most of the government accusations are false.
Kama hujui kitu bora ukae kimya. TRA hawajakurupuka.Hilo ndio tatizo, kama TRA wataambiwa waprove hio amount watajambajamba for sure. Hivi vyombo ndio vinamfanya mkulu apate aibu, wao wametoa hayo makadirio kumfurahisha mkuu, na mkuu nae taratibu ya hizi mambo hajui. Mimi huwa najiuliza kwani si kuna kila baada ya miaka fulani TRA wanatakiwa wafanye auditing kwenye makampuni? Kama ni hivo vipi wao wana expect kampuni ikae na makaratasi kwa miaka 17? Hili ni kosa la TRA kutopitia kampuni. Wangetumia ustaarabu tu wa kuwafanyia makadirio ya miaka mitatu au miwili
Comment yako unaonesha jinsi ulivyo mjinga wa kutupwa. nawaonea huruma wazazi wako maana wana hasara kubwa sanaKwani wakati wanafanya huo udanganyifu serikali/TRA ilikuwa wapi miaka yote hiyo?
Hiyo hela hawataitoa endeleeni kuota...
Mkuu GDP ya Egypt hiyo 400 Trilioni?!. Hivi hujioni ni kivutio cha utalii?!I don't know the full fact of this case, you have higher confidence Acacia will win. May be you have seen full details of government evidence and Acacia evidence. Why don't you jump right in and buy their shares. You will make a fortune.
Nadhani ana kizazi bora chenye akiliComment yako unaonesha jinsi ulivyo mjinga wa kutupwa. nawaonea huruma wazazi wako maana wana hasara kubwa sana
901 billion I?!.Kama hujui kitu bora ukae kimya. TRA hawajakurupuka.
Nakupa mfano mdogo tu.- Kwa miaka kadhaa iliyopita ACACIA walikuwa hawalipi kodi (withholding tax) kwa madai kuwa walikuwa wanapata hasara. lakini imekuja kugundulika kwamba mwaka 2010 - 2013 hawajamaa walitoa gawio la faida kwa share holder wake lenye thamani ya 901b.
sasa kama walikuwa hawapati faida, hizo pesa walizitoa wapi za kugawana?
You are right JITEGEMEE, Acacia Mining ambayo iko kwenye London Stock Exchange wanamiliki BGML and PML. Acacia pia wana migodi nchi nyingine Kama Kenya, Burkina Faso na Mali. Lakini migodi yao ya Tanzania ndiyo inayowapa 90% ya Gold yao.
Barrick Gold wanamiliki 63.9% of Acacia wenyewe wana migodi nchi 10 na ndiyo kampuni kubwa kuliko zote zinazochimba gold duniani.
Acha uongo wewe aliyekwambia barrick ni kampuni kubwa ya kuchimba dhahabu duniani ni nani.hata google umeshindwa kutumia ili uweze kujua..