Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya.
Eti inawezekana kwa TRA ku-monitor utoaji wa risiti za EFD (wafanyabiashara wakubwa tu) kwa kutumia wireless CCTV cameras??????
Kama ambavyo mfanyabiashara ananunua EFD machine, ndio ambavyo anahitajika kufunga CCTV camera au mbili kisha TRA wanakuwa na monitoring room???
OUR MOTTO
==========
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. JIULIZE UMEIFANYIA NINI LA MAANA NCHI YAKO MPAKA SASA???
Eti inawezekana kwa TRA ku-monitor utoaji wa risiti za EFD (wafanyabiashara wakubwa tu) kwa kutumia wireless CCTV cameras??????
Kama ambavyo mfanyabiashara ananunua EFD machine, ndio ambavyo anahitajika kufunga CCTV camera au mbili kisha TRA wanakuwa na monitoring room???
OUR MOTTO
==========
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. JIULIZE UMEIFANYIA NINI LA MAANA NCHI YAKO MPAKA SASA???