TRA wanavyomjaribu Rais Samia Suluhu

Kesho nikitulia itabidi nilete baadhi ya mambo yanayonitatiza ili unipe msaada mkuu.
Huyu Mheshimiwa anaweza akawa haelewi kodi na namna ya kulitatua hili au Mamlaka ya TRA wanadai kodi ambayo si halali either kwa makusudi au kwakuwa hawana taarifa sahihi za mlipa kodi wao. Audit inapofanyika, TRA hutumia evidence walizonazo kutoa makadirio kama watakuwa wamekukagua. Wewe jukumu lako ni kujitetea kuwa TRA hamkupitia kitu moja mbili tatu wakati mnaandaa hesabu zenu. Una nafasi ya kufanya hivyo ndani ya siku 30 (siku za pingamizi kama ulikaguliwa na wakatoa assessment). Huyu kapewa nahisi ni Demand Notice. Ambayo unaijibu ndani ya Muda waliokupangia au unaomba Muda wa kujibu.

Ukionewa unaweka pingamizi kwa Commissioner, Commissioner akikuonea unaenda Tax Revenue Appeals Board (TRAB), inatoa maamuzi, ukionewa unaenda TRAT (Tax Revenue Appeals Tribunal) ukionewa na hapo unaenda Mahakamani.

Pia kuna muda watu hawajui Sheria ndio maana wanajikuta wanapigwa kodi kubwa. Mimi nilikuwa na mteja wangu mmoja wa Oil and Gas nikiwa Consultant wa Kampuni fulani alipigwa Kodi 9billion mpaka nikaduwaa.

Tukapambana tukaweka vielelezo akaishia kulipa Million 230 tu.

Jamani huko TRA weledi ni Mdogo sana wa Watendaji lakini pia kuna Tatizo la Walipa kodi kutokujua Sheria.

Natamani Siku humu ndani nifunguke kuhusu Kodi, Changamoto zake na Pia Madhaifu ya TRA na Madhaifu ya Walipa kodi na Ninyi cha Kufanya.

Mkiniruhusu naweza weka Uzi mmoja wa hayo yote hapa. Ila pia mwenye Maswali ya kodi ananiuliza hapa (nisiyoyajua naenda kuwataftieni majibu). Ahsanteni.
 
TRA, ni kati ya taasisi ambazo ni adui wa maendeleo ya Tanzania na watanzania.

Ifikie wakati, intelligent people waende wakafanye kazi TRA.
Intelligence kwa tz ni kuvizia wapinzani wa kisiasa tu, kuacha mambo ya interest kwa taifa. So sad
 
Huyu Mheshimiwa anaweza akawa haelewi kodi na namna ya kulitatua hili au Mamlaka ya TRA wanadai kodi ambayo si halali either kwa makusudi au kwakuwa hawana taarifa sahihi za mlipa kodi wao. Audit inapofanyika, TRA hutumia evidence walizonazo kutoa makadirio kama watakuwa wamekukagua. Wewe jukumu lako ni kujitetea kuwa TRA hamkupitia kitu moja mbili tatu wakati mnaandaa hesabu zenu. Una nafasi ya kufanya hivyo ndani ya siku 30 (siku za pingamizi kama ulikaguliwa na wakatoa assessment). Huyu kapewa nahisi ni Demand Notice. Ambayo unaijibu ndani ya Muda waliokupangia au unaomba Muda wa kujibu.

Ukionewa unaweka pingamizi kwa Commissioner, Commissioner akikuonea unaenda Tax Revenue Appeals Board (TRAB), inatoa maamuzi, ukionewa unaenda TRAT (Tax Revenue Appeals Tribunal) ukionewa na hapo unaenda Mahakamani.

Pia kuna muda watu hawajui Sheria ndio maana wanajikuta wanapigwa kodi kubwa. Mimi nilikuwa na mteja wangu mmoja wa Oil and Gas nikiwa Consultant wa Kampuni fulani alipigwa Kodi 9billion mpaka nikaduwaa.

Tukapambana tukaweka vielelezo akaishia kulipa Million 230 tu.

Jamani huko TRA weledi ni Mdogo sana wa Watendaji lakini pia kuna Tatizo la Walipa kodi kutokujua Sheria.

Natamani Siku humu ndani nifunguke kuhusu Kodi, Changamoto zake na Pia Madhaifu ya TRA na Madhaifu ya Walipa kodi na Ninyi cha Kufanya.

Mkiniruhusu naweza weka Uzi mmoja wa hayo yote hapa. Ila pia mwenye Maswali ya kodi ananiuliza hapa (nisiyoyajua naenda kuwataftieni majibu). Ahsanteni.
Mh. Mbunge Wa Kitaa kwanza nikushukuru kwa maoni yako mazuri. Lakini pili, wewe kama member wa JF, ambalo ni Jukwaa huru, huhitaji ridhaa ama ruhusa ya watu humu ili kuleta mada ama kuzungumza jambo hasa ambalo unaona lina tija kwa watu. Kuna watu wanaongea na kupost upupu mtupu majukwaani, sasa kwa nn uwe wa kujiuliza kuwa uandike kuhusu hiyo changamoto ya TRA ama la? Lete vitu bro, ili iwe pia ni sadaka yako ya ukombozi wa Wajasiliamali na wafanya biashara wanaoumizwa na TRA. Mimi pia nimeshawahi pigwa kodi hadi nikakonda aisee. Jamaa walipiga kufuri na utepe biashara yangu. Nikapambana nikawalipa ndipo ikafunguliwa. Kiufupi zaidi ya 70 ya faida za biashara nyingi zinachukuliwa kama kodi. Inasikitisha sn.
 
Huyu Mheshimiwa anaweza akawa haelewi kodi na namna ya kulitatua hili au Mamlaka ya TRA wanadai kodi ambayo si halali either kwa makusudi au kwakuwa hawana taarifa sahihi za mlipa kodi wao. Audit inapofanyika, TRA hutumia evidence walizonazo kutoa makadirio kama watakuwa wamekukagua. Wewe jukumu lako ni kujitetea kuwa TRA hamkupitia kitu moja mbili tatu wakati mnaandaa hesabu zenu. Una nafasi ya kufanya hivyo ndani ya siku 30 (siku za pingamizi kama ulikaguliwa na wakatoa assessment). Huyu kapewa nahisi ni Demand Notice. Ambayo unaijibu ndani ya Muda waliokupangia au unaomba Muda wa kujibu.

Ukionewa unaweka pingamizi kwa Commissioner, Commissioner akikuonea unaenda Tax Revenue Appeals Board (TRAB), inatoa maamuzi, ukionewa unaenda TRAT (Tax Revenue Appeals Tribunal) ukionewa na hapo unaenda Mahakamani.

Pia kuna muda watu hawajui Sheria ndio maana wanajikuta wanapigwa kodi kubwa. Mimi nilikuwa na mteja wangu mmoja wa Oil and Gas nikiwa Consultant wa Kampuni fulani alipigwa Kodi 9billion mpaka nikaduwaa.

Tukapambana tukaweka vielelezo akaishia kulipa Million 230 tu.

Jamani huko TRA weledi ni Mdogo sana wa Watendaji lakini pia kuna Tatizo la Walipa kodi kutokujua Sheria.

Natamani Siku humu ndani nifunguke kuhusu Kodi, Changamoto zake na Pia Madhaifu ya TRA na Madhaifu ya Walipa kodi na Ninyi cha Kufanya.

Mkiniruhusu naweza weka Uzi mmoja wa hayo yote hapa. Ila pia mwenye Maswali ya kodi ananiuliza hapa (nisiyoyajua naenda kuwataftieni majibu). Ahsanteni.
Toa elimu, kwani kuweka Uzi mpaka upewe kibali?
 
TRA IVUNJWE, TUANZE UPYA. KUWEPO KITENGO MAHSUSI CHA VETTING NA KIAPO KIKALI CHA MAADILI KWA WATAKAO QUALIFY NA WAFANYE KWA RENEWABLE CONTRACTS. TRANSPARENCY IN OPERATIONS - OFISI ZOTE ZIWE NA PARTITIONS ZA VIOO NA KUWEPO TEAM YA KUSIKILIZA RUFAA ZA KODI NA IKIGINDULIKA MTEJA KABANBIKIWA KODI WAHUSIKA WAFURUSHWE ON THE SPOT!
 
Hii ni moja ya taasisi zinazolalamikiwa kupitiliza. Mtu analığa kodi, na hiyo kodi nayo sasa mnaenda kuipoteza. Hawa watu siwaelewi kabisa. So sad.

Huu mchezo wa kulazimisha na kubambika kodi bado wanayo.

View attachment 1790810
Bila Kubadilisha sheria zinazowapa TRA kukadiria kodi wanavyotaka, kuondoa sheria zinazowapa officer wa TRA kinga ya kutoshitakiwa pale wanapobambikia watu kodi na kuweka kila kitu online na hakuna
Huyu Mheshimiwa anaweza akawa haelewi kodi na namna ya kulitatua hili au Mamlaka ya TRA wanadai kodi ambayo si halali either kwa makusudi au kwakuwa hawana taarifa sahihi za mlipa kodi wao. Audit inapofanyika, TRA hutumia evidence walizonazo kutoa makadirio kama watakuwa wamekukagua. Wewe jukumu lako ni kujitetea kuwa TRA hamkupitia kitu moja mbili tatu wakati mnaandaa hesabu zenu. Una nafasi ya kufanya hivyo ndani ya siku 30 (siku za pingamizi kama ulikaguliwa na wakatoa assessment). Huyu kapewa nahisi ni Demand Notice. Ambayo unaijibu ndani ya Muda waliokupangia au unaomba Muda wa kujibu.

Ukionewa unaweka pingamizi kwa Commissioner, Commissioner akikuonea unaenda Tax Revenue Appeals Board (TRAB), inatoa maamuzi, ukionewa unaenda TRAT (Tax Revenue Appeals Tribunal) ukionewa na hapo unaenda Mahakamani.

Pia kuna muda watu hawajui Sheria ndio maana wanajikuta wanapigwa kodi kubwa. Mimi nilikuwa na mteja wangu mmoja wa Oil and Gas nikiwa Consultant wa Kampuni fulani alipigwa Kodi 9billion mpaka nikaduwaa.

Tukapambana tukaweka vielelezo akaishia kulipa Million 230 tu.

Jamani huko TRA weledi ni Mdogo sana wa Watendaji lakini pia kuna Tatizo la Walipa kodi kutokujua Sheria.

Natamani Siku humu ndani nifunguke kuhusu Kodi, Changamoto zake na Pia Madhaifu ya TRA na Madhaifu ya Walipa kodi na Ninyi cha Kufanya.

Mkiniruhusu naweza weka Uzi mmoja wa hayo yote hapa. Ila pia mwenye Maswali ya kodi ananiuliza hapa (nisiyoyajua naenda kuwataftieni majibu). Ahsanteni.
Wewe unaishi dunia nyingine na umesoma kwenye vipeperushi unalete porojo hapa, Hio kampuni ina wahasibu, wansheria na maodita, na wamefanya hayo yote, rejea sheria za kodi zinasemaje ndio utajua wafanyakazi wa TRA wanazitumiaje hizo sheria kubambikia watu kodi, sheria zilizoko practical zinazuia kufanya biashara ni suluhisho ni kuzibadilisha.
 
Ni sawa tataizo laweza kuwa ni uelewa wa kutokujua sheria za kodi sasa ndio tra wakubambikie? huo ni uonezi, unajua si wote wanaoweza kuweka tax consultant biashara zenyewe ni ndogo utamlipa kiasi gani? yaani sheria ziwe friendly na hesabu watu watalipa tu,ila kwa hali ilipo sasa ni mzigo mzito sana, tutafunga tu.SSH ana hitaji msaada sana kwenye hii taasisi.
 
Huyu Mheshimiwa anaweza akawa haelewi kodi na namna ya kulitatua hili au Mamlaka ya TRA wanadai kodi ambayo si halali either kwa makusudi au kwakuwa hawana taarifa sahihi za mlipa kodi wao. Audit inapofanyika, TRA hutumia evidence walizonazo kutoa makadirio kama watakuwa wamekukagua. Wewe jukumu lako ni kujitetea kuwa TRA hamkupitia kitu moja mbili tatu wakati mnaandaa hesabu zenu. Una nafasi ya kufanya hivyo ndani ya siku 30 (siku za pingamizi kama ulikaguliwa na wakatoa assessment). Huyu kapewa nahisi ni Demand Notice. Ambayo unaijibu ndani ya Muda waliokupangia au unaomba Muda wa kujibu.

Ukionewa unaweka pingamizi kwa Commissioner, Commissioner akikuonea unaenda Tax Revenue Appeals Board (TRAB), inatoa maamuzi, ukionewa unaenda TRAT (Tax Revenue Appeals Tribunal) ukionewa na hapo unaenda Mahakamani.

Pia kuna muda watu hawajui Sheria ndio maana wanajikuta wanapigwa kodi kubwa. Mimi nilikuwa na mteja wangu mmoja wa Oil and Gas nikiwa Consultant wa Kampuni fulani alipigwa Kodi 9billion mpaka nikaduwaa.

Tukapambana tukaweka vielelezo akaishia kulipa Million 230 tu.

Jamani huko TRA weledi ni Mdogo sana wa Watendaji lakini pia kuna Tatizo la Walipa kodi kutokujua Sheria.

Natamani Siku humu ndani nifunguke kuhusu Kodi, Changamoto zake na Pia Madhaifu ya TRA na Madhaifu ya Walipa kodi na Ninyi cha Kufanya.

Mkiniruhusu naweza weka Uzi mmoja wa hayo yote hapa. Ila pia mwenye Maswali ya kodi ananiuliza hapa (nisiyoyajua naenda kuwataftieni majibu). Ahsanteni.
tushakuruhusu weka uzi
 
TRA Mwenge wametembeza barua nyingi sana kwa jina la audit. Watu wanapigwa hela ndefu kimya kimya. Yaani ni balaa. Unaletewa 400M muamze maongezi, mwisho wa siku mtu anafika 50m mtu anatia mfukoni maisha yanaendelea
Ndio tunakusanya bila shurti mama kasema 😂
 
Nchii hii kuendelea mpaka Mungu aamue
Siyo nchi hii tu. Po pote palipo na mtu mweusi mambo ni yale yale: ubinafsi wa kutisha, ufisadi wa kinyama, roho mbaya iliyopindukia, kuoneana, kutojali, uvivu na utopolo wa kila aina. Kuna tatizo mahali na mtu mweusi - si Afrika, si visiwa vya Caribbean, si Haiti, si.....Inakera !!!
 
Back
Top Bottom