Android 00
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 774
- 226
Wafanyabiashara wanaona shida kulipa kodi maana visingizio vimekuwa vinabadilika kila siku mara zina bei kubwa, mara hazirekodi manunuzi, mara 18% kodi, tupate elimu kwanza n.k
EFD imekuwa kero kwa wafanyabiasharau kwasababu inatunza kumbukumbu za biashara za kila siku kwahiyo ile fursa ya kuwahonga watumishi wa TRA katika ukadiriaji wa kodi imeondolewa na wao wamezoea kukwepa kodi.
EFD inawahusu wafanyabiashara ambao hawajasajiliwa kwenye VAT ambao Mauzo ghafi yao kwa mwaka ni shilingi milioni 14 na zaidi. Kwa Nchi nzima walengwa ni kama laki mbili tu kati ya wafanyabiashara zaidi ya milioni moja na nusu ambao wamesajiliwa kulipa kodi.
Kuhusu kutozwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ya asilimia 18. Sasa watatozwaje VAT wakati hawajasajiliwa kwenye VAT kodi yao ni ileile ya mapato .
Wafanyabiashara wanaogomea EFD ni wakwepa kodi mbona watumishi wanakatwa kodi hawagomi.
Hakuna nguvu ya umma katika hili kinachotakiwa ni wafanyabiashara kulipa kodi. Nguvu ya umma ni katika kusimamia matumizi ya kodi zetu.
Wafanyabiashara wanaona shida kulipa kodi maana visingizio vimekuwa vinabadilika kila siku mara zina bei kubwa, mara hazirekodi manunuzi, maura 18% kodi, tupate elimu kwanza n.k
EFD imekuwa kero kwa wafanyabiashara kwasababu inatunza kumbukumbu za biashara za kila siku kwahiyo ile fursa ya kuwahonga watumishi wa TRA katika ukadiriaji wa kodi imeondolewa na wao wamezoea kukwepa kodi.
EFD inawahusu wafanyabiashara ambao hawajasajiliwa kwenye VAT ambao Mauzo ghafi yao kwa mwaka ni shilingi milioni 14 na zaidi. Kwa Nchi nzima walengwa ni kama laki mbili tu kati ya wafanyabiashara zaidi ya milioni moja na nusu ambao wamesajiliwa kulipa kodi.
Kuhusu kutozwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ya asilimia 18. Sasa watatozwaje VAT wakati hawajasajiliwa kwenye VAT kodi yao ni ileile ya mapato .
Wafanyabiashara wanaogomea EFD ni wakwepa kodi mbona watumishi wanakatwa kodi hawagomi.
Hakuna nguvu ya umma katika hili kinachotakiwa ni wafanyabiashara kulipa kodi. Nguvu ya umma ni katika kusimamia matumizi ya kodi zetu.
waendelee kuwatathimini wafanyabiashara kama zamani ila sasa waje na utaratibu huu:
Duka la nguo la aina yoyote kodi ni 200000 kwa mwezi.
Duka la mchele 150000.
Duka la viatu ......
Duka la simu .......
Duka la ice cream .......
na inaendelea ivo ivo, isipokua kodi zitofautiane na maeneo ya duka lilipo.
mbona hatuioni hio nguvu ya umma unayosimamia kodi zetu?
mbona siioni nguvu ya umma inayosimamia tembo na twiga wetu?
wewe kama so mwanasiasa ni EPA.
Wafanyabiashara wanaona shida kulipa kodi maana visingizio vimekuwa vinabadilika kila siku mara zina bei kubwa, mara hazirekodi manunuzi, mara 18% kodi, tupate elimu kwanza n.k
EFD imekuwa kero kwa wafanyabiashara kwasababu inatunza kumbukumbu za biashara za kila siku kwahiyo ile fursa ya kuwahonga watumishi wa TRA katika ukadiriaji wa kodi imeondolewa na wao wamezoea kukwepa kodi.
EFD inawahusu wafanyabiashara ambao hawajasajiliwa kwenye VAT ambao Mauzo ghafi yao kwa mwaka ni shilingi milioni 14 na zaidi. Kwa Nchi nzima walengwa ni kama laki mbili tu kati ya wafanyabiashara zaidi ya milioni moja na nusu ambao wamesajiliwa kulipa kodi.
Kuhusu kutozwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ya asilimia 18. Sasa watatozwaje VAT wakati hawajasajiliwa kwenye VAT kodi yao ni ileile ya mapato .
Wafanyabiashara wanaogomea EFD ni wakwepa kodi mbona watumishi wanakatwa kodi hawagomi.
Hakuna nguvu ya umma katika hili kinachotakiwa ni wafanyabiashara kulipa kodi. Nguvu ya umma ni katika kusimamia matumizi ya kodi zetu.
Katika kutafuta maisha mimi nimeshafanya biashara na mpaka sasa nafanya japo si kwa kiwango cha zamani. Labda niseme tatizo lipo kwenye UKUBWA WA KODI ambayo mfanyabiashara anatakiwa kulipa. Hili ni tatizo la muda mrefu lakini wafanyabiasha hawajawahi kulalamika kwa sababu miaka nenda miaka rudi wamekuwa wanakwepa kulipa kodi halisi. wafanyabiashara wengi kwenye maduka kama Kariakoo wanakuwa na vitabu viwili vya risiti, kimoja halali na kingine haramu. Sasa hizi mashine zimeziba huo mwanya, kwa hiyo watu sasa wanaanza ku-feel ile ''nguvu'' ya ukubwa wa kodi. Kusema ukweli sababu zinazotolewa na wafanya biashara zote ni za UONGO ila sababu kubwa ni kuwa UKILIPA KODI KADIRI INAVYOPASA faida itakuwa ndogo sana au hakuna kabisa. Naona wangeeleza tu ukweli na sio kuzunguka zunguka mbuyu
Umenena hakika kabisa mkuu, wengi tumepita huko, mimi nimejifunzia biashara kwenye kampuni ya wageni, kodi tuliyokuwa tunakwepa haisemeki, hata mimi nilivokuja kuanza kazi za uchuuzi za binafsi nilikopi tu mbinu za ukwepaji na kuzihamishia kwangu, TATIZO WALA SI BEI ZA MASHINE, TATIZO MASHINE ZINABANA UKWEPAJI (japo zinachakachulika pia)
Hizi mashine ni 'automatic'.. Ukipitisha ile 'threshold' ya kukadiriwa kodi (mapato ghafi ya zaidi ya Shilingi milioni 40), inakusajili moja kwa moja kama mlipaji wa Kodi ya Ongezeko la Thamani(VAT). Kwa hiyo haihitaji ofisa wa TRA kuja kukusajili.Kuhusu kutozwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ya asilimia 18. Sasa watatozwaje VAT wakati hawajasajiliwa kwenye VAT kodi yao ni ileile ya mapato .
Kulikua na utaratibu wa makadirio ya kila mwaka kila mfanyabiashara, huu ulikua mpango mzuri sana lkn kwakua maofisini kumekosekana watendaji waaminifu imeonekana mashine ndio zinafaa kudhibiti upotevu wa pesa.
Wametolewa watendaji wa tra kwenda kusomea uendeshaji wa mashine Dubai na zimetumika pesa nyingi sana za walipa kodi badala yake yaneletwa mambo yasioeleweka.
Ninachopenda kuwashauri TRA kama wanapenda waendelee kukusanya kodi kwa umakini wapange safu nzur maofisini na waendelee kuwatathimini wafanyabiashara kama zamani ila sasa waje na utaratibu huu: