TRA vs TANAPA vs NSSF

Wana jamvi samahani lakini naomba mnijuze. Eti kati ya mashirika hayo matatu ni lipi linaongoza kwa kulipa mshahara mnono kwa wafanyakazi wake pamoja na marupurupu mengine. Akhsanteni
kuna mtanzania anayeishi kwa mshahara?
 
Muuliza swali huwezi kupata jibu kwenye swali lako maana you are too general, ungeuliza hivi nikiwa chief Finance Officer katika mashirika ya TRA, TANAPA na NSSF wapi naweza kupata mshahara mkubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…