BabaKasheshe
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 211
- 45
Salama wakuu.....naomba kujua kama kuna mtu ame apply kazi online TRA na kafanikiwa hadi mwisho, me naona anasumbua sana, baadhi ya items ambazo ni compasory ni kama haziko active.....
Wapi inakusumbua tukusaidie....
Inasumbua sana mkuu lakini ukikomaa inajijaza..mie ilisumbua sana kwenye birth date..hatari,,halafu ilivyo yaa ajabu hawatumi hata notifications kwenye emai yako..ingawa wameiga system ya UN still wapo chini..!!Kwanaza ni ktk sehem ya kumweka resuls yaani PASS or FAIL, nikiweka still inaleta error msg kwamba sijaweka....
Inasumbua sana mkuu lakini ukikomaa inajijaza..mie ilisumbua sana kwenye birth date..hatari,,halafu ilivyo yaa ajabu hawatumi hata notifications kwenye emai yako..ingawa wameiga system ya UN still wapo chini..!!
mimi hawajanitumia aisee wamenipa reference namba tu..mkuu ingawa nimeisubmit ile applicationHapana mkuu notification wanatuma kwa email yako unayoweka pale
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
fungua email yako uliyoandika as contant wakati ukiapply utaionamimi hawajanitumia aisee wamenipa reference namba tu..mkuu ingawa nimeisubmit ile application
Nipo online hapa sioni kitu email zote hamna ya TRA..!!!fungua email yako uliyoandika as contant wakati ukiapply utaiona
kama hamna jaribu ku log in kama umekuwa register,tumia ref number waliyopewaNipo online hapa sioni kitu email zote hamna ya TRA..!!!
Tafuta uzi umeandikwa TRA kazi mpya kuna link mule inahusu applications click..wanajamii forums hiyo mada nimeifatilia lakini cjaelewa hiyo on line application ya tra ipo vip!!!!!!!!!! pls nipeni details nami niapplyb pls! au information ipo wap zaid??
Nimeamua niachane nayo maana ref namba wamenipa nikiingiza inasema haipo..nimejaribu kuapply tena inasema the applicant already exists..!!itakua sio bahati yangu tu hiyo..!!kama hamna jaribu ku log in kama umekuwa register,tumia ref number waliyopewa
Inasumbua sana mkuu lakini ukikomaa inajijaza..mie ilisumbua sana kwenye birth date..hatari,,halafu ilivyo yaa ajabu hawatumi hata notifications kwenye emai yako..ingawa wameiga system ya UN still wapo chini..!!
Kwenye date tumia system hii
mm/dd/yy
hii system sidhani kama itakua inamanufaa waliokusudia at times wanakosa watu wazuri sababu ya usumbufu huu, mm I gave up....