Magari ya kukodisha
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 412
- 695
Wakuu habari:
Kwanza niseme kwa dhati kabisa toka moyoni napenda kumpongeza rais wetu wa jamhuri ya muungano kwani hadi sasa ameonyesha nia ya dhati kulinasua taifa letu kutoka kwenye wimbi kubwa la umaskin
Rais ameonyesha nia ya dhati kuboresha maisha yetu kutokana na ukusanyaji kodi
Hapo kwenye kodi ndio penye mzizi wa thread hi.
Ushauri wangu Kama itawezekana rais wetu aongee naTRA waongeze ubunifu kwenye kukusanya Kodi mfano: Marekani unaruhusiwa kuwa na plate number yenye jina lako kwa gharama za dola 10 tu mwaka mzima
Marekani inajumla ya magari 268million
Tanzania inajumla ya magari 380000 kwa takwim za mwaka 2015
Sasa hapo Tra inapaswa kujua siku hizi vijana wengi ndio wanaongoza kununua magari na vijana hawa kwakuwa ndio nguvu kazi ya taifa kwanini TRA isibuni vitu mbalimbali vitakavyovutia makundi haya Kisha itakusanya Kodi yake ,
Tanzania ukitaka gari yako iwe na plate namba yenye jina lako ni milion kumi idadi ya magari yaliyopo Tanzania ni ndogo mnooo
Wenzetu Marekani ukitaka kusajili plate number yenye jina lako ni 20000 za kitanzania
Mimi najiuliza TRA kwanini vitu vingine isibuni toka kwa mataifa mengine ili ijikusanyie kodi katika mfumo ambao raia watakuwa wanafurahia maisha.
Vitu vingine vinashangaza sana haswa ukiangalia gharama za usajili wa plate number zenye jina binafsi unaona kabisa TRA hawako serious kutengeneza mazingira ya kukusanya kodi...
Kwanza niseme kwa dhati kabisa toka moyoni napenda kumpongeza rais wetu wa jamhuri ya muungano kwani hadi sasa ameonyesha nia ya dhati kulinasua taifa letu kutoka kwenye wimbi kubwa la umaskin
Rais ameonyesha nia ya dhati kuboresha maisha yetu kutokana na ukusanyaji kodi
Hapo kwenye kodi ndio penye mzizi wa thread hi.
Ushauri wangu Kama itawezekana rais wetu aongee naTRA waongeze ubunifu kwenye kukusanya Kodi mfano: Marekani unaruhusiwa kuwa na plate number yenye jina lako kwa gharama za dola 10 tu mwaka mzima
Marekani inajumla ya magari 268million
Tanzania inajumla ya magari 380000 kwa takwim za mwaka 2015
Sasa hapo Tra inapaswa kujua siku hizi vijana wengi ndio wanaongoza kununua magari na vijana hawa kwakuwa ndio nguvu kazi ya taifa kwanini TRA isibuni vitu mbalimbali vitakavyovutia makundi haya Kisha itakusanya Kodi yake ,
Tanzania ukitaka gari yako iwe na plate namba yenye jina lako ni milion kumi idadi ya magari yaliyopo Tanzania ni ndogo mnooo
Wenzetu Marekani ukitaka kusajili plate number yenye jina lako ni 20000 za kitanzania
Mimi najiuliza TRA kwanini vitu vingine isibuni toka kwa mataifa mengine ili ijikusanyie kodi katika mfumo ambao raia watakuwa wanafurahia maisha.
Vitu vingine vinashangaza sana haswa ukiangalia gharama za usajili wa plate number zenye jina binafsi unaona kabisa TRA hawako serious kutengeneza mazingira ya kukusanya kodi...