Katika utaratibu wa maisha Africa inabidi tujifunze kujiwekea kikomo!
Ili tuendane na ulimwengu lazima tujifunze kubadilika!
Nikimnukuu bwana Newton mwanasayansi msomi aliwahi kusema kwamba (Kila kitu hubaki kilivyo au kwenye mwendo hadi pale nguvu hasi itakapotumika)
Hii inamaanisha kwamba afrika tutaendelea kuwa hivi hivi hadi pale nguvu nyingine itaamua vinginevyo!
Afrika huwa hatuna mda kabisa wa kuzingatia uchakavu (expire date)!
Hatuzingatii uchakavu kuanzia vyakula, mapenzi na vitu vingine yabisi hadi pale tunakumbana na madhara! (Sitachimba sana huku)
Tukirudi kwenye gari na vyombo vya moto!
Huko yanapotengenezwa magari mfano Japan na kwingineko!
Ziko taratibu walizojikwekea kwamba gari ikifikia kiwango flani cha matumizi iondolewe barabarani!
Na ndiyo maana japani ukiwa na hata laki nane unapata gari kari!
Lakini likifika afrika huwa ni Jipya!
Sasa basi, magari yanayoingia inchini husajiliwa na mamlaka ya TRA kwa alphabet kimahesabu ya probability/possibility!
Magari yaliyotumiwa huko inje miaka hiyo, yakafika Tanzania na kusajiliwa namba TZ na baadae kuhamia usajili mpya wa namba (A) hakika yatakuwa yamezeeka sana!
Kama kweli tunajali afya za watu hayo magari yangeondolewa barabari! TRA wasihamie namba E bali waangalie namna ya kuondoa (A) ili waanze upya!
Tunajaza sever za TRA pasipo sababu ya msingi na minamba kibao!
Utafiti unaonesha kama TRA itahamia namba (E) itachukua karibu miaka 8-10 kufikia kujaa!
Rai yangu kwa serikali, kama ilivyofanya kurudia usajili wa laini za simu!
Basi isione tabu kufuta usajili wa magari namba (A)
Serikali ni afadhali ipunguze ushuru wa kuagiza magari Japan lakini ifute usajili wa magari namba (A) ili kubalance life cycle ya magari Tanzania! Iwe (A to D)
Na kwa Yale namba (A) yatayobainika yanaubora wa kiwango cha kubaki, walipie gharama annually na wabadilishwe rangi ya plate number, isomeke namba (A) lakini plate nyekundu (namba maalum)
Mkishindwa hilo, wekeni hata utaratibu wa kila gari kuwa na umri wake wa kutembea!
Nasema hivi kwasababu zipo gari hapa bongo hata akiiona mjapani atakataa kuwa hakuitengeneza yeye!
Yaani gari Kuanzia injini imebadilishwa, gearbox nyingine, kila kitu kimebadilishwa!
Pia Hii inachangia hadi wizi wa spea kuongezeka!
Sioni sababu ya kuhamia namba (E) na kuiacha (A) ikiteketeza dunia kwa uchakavu!
Ili tuendane na ulimwengu lazima tujifunze kubadilika!
Nikimnukuu bwana Newton mwanasayansi msomi aliwahi kusema kwamba (Kila kitu hubaki kilivyo au kwenye mwendo hadi pale nguvu hasi itakapotumika)
Hii inamaanisha kwamba afrika tutaendelea kuwa hivi hivi hadi pale nguvu nyingine itaamua vinginevyo!
Afrika huwa hatuna mda kabisa wa kuzingatia uchakavu (expire date)!
Hatuzingatii uchakavu kuanzia vyakula, mapenzi na vitu vingine yabisi hadi pale tunakumbana na madhara! (Sitachimba sana huku)
Tukirudi kwenye gari na vyombo vya moto!
Huko yanapotengenezwa magari mfano Japan na kwingineko!
Ziko taratibu walizojikwekea kwamba gari ikifikia kiwango flani cha matumizi iondolewe barabarani!
Na ndiyo maana japani ukiwa na hata laki nane unapata gari kari!
Lakini likifika afrika huwa ni Jipya!
Sasa basi, magari yanayoingia inchini husajiliwa na mamlaka ya TRA kwa alphabet kimahesabu ya probability/possibility!
Magari yaliyotumiwa huko inje miaka hiyo, yakafika Tanzania na kusajiliwa namba TZ na baadae kuhamia usajili mpya wa namba (A) hakika yatakuwa yamezeeka sana!
Kama kweli tunajali afya za watu hayo magari yangeondolewa barabari! TRA wasihamie namba E bali waangalie namna ya kuondoa (A) ili waanze upya!
Tunajaza sever za TRA pasipo sababu ya msingi na minamba kibao!
Utafiti unaonesha kama TRA itahamia namba (E) itachukua karibu miaka 8-10 kufikia kujaa!
Rai yangu kwa serikali, kama ilivyofanya kurudia usajili wa laini za simu!
Basi isione tabu kufuta usajili wa magari namba (A)
Serikali ni afadhali ipunguze ushuru wa kuagiza magari Japan lakini ifute usajili wa magari namba (A) ili kubalance life cycle ya magari Tanzania! Iwe (A to D)
Na kwa Yale namba (A) yatayobainika yanaubora wa kiwango cha kubaki, walipie gharama annually na wabadilishwe rangi ya plate number, isomeke namba (A) lakini plate nyekundu (namba maalum)
Mkishindwa hilo, wekeni hata utaratibu wa kila gari kuwa na umri wake wa kutembea!
Nasema hivi kwasababu zipo gari hapa bongo hata akiiona mjapani atakataa kuwa hakuitengeneza yeye!
Yaani gari Kuanzia injini imebadilishwa, gearbox nyingine, kila kitu kimebadilishwa!
Pia Hii inachangia hadi wizi wa spea kuongezeka!
Sioni sababu ya kuhamia namba (E) na kuiacha (A) ikiteketeza dunia kwa uchakavu!