TRA kukusanya Tsh. 4.972 trilioni

TRA kukusanya Tsh. 4.972 trilioni

Uchumi umeyumba Duniani kutokana na hii ishu ya Corona...bidhaa zinazoingia na kutoka zimepungua hayo makusanyo ya kuvunja rekodi yanapatikana wapi...
 
Hii figure ya Trillion 4.97 (approximately 5Tril) umeipatia wapi?
 
Hali ya uchumi wa Tanzania inategemea pia na uchumi wa dunia, pamoja na changamoto za kiuchumi duniani makusanyo siosio haba.

Pongezi kwa TRA kwa kazi kubwa, kuelekea utekelezwaji wa ilani ya chama tawala haswa kwenye uwekezaji kwenye sekta binafsi na uwezeshwaji mitaji kwa wananchi basi mwaka 2021 utakua wa mafanikio zaidi.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
TRA wangekuwa serious na kodi za k/koo tu basi sasa hivi ingekuwa tunaongelea makusanyo ya 5 trillions/month
 
Kama nchi bado uzalendo kwa watu ni mdogo na hasa wakiangalia manufaa ya kodi yao ni kununua viieetii ya milioni 400 huku wao wakilipia hadi daftari la kujiandikashia hospitali
 
Kama nchi bado uzalendo kwa watu ni mdogo na hasa wakiangalia manufaa ya kodi yao ni kununua viieetii ya milioni 400 huku wao wakilipia hadi daftari la kujiandikashia hospitali
Mabadiliko ni hatua, kwa sasa tunaona kuna maendeleo kwenye hayo mabadiliko kiasi cha kuweza kukemea matumizi mabaya ya fedha za umma.
 
Ubabe na kubambikizia wafanyabiashara madeni ya 2015-2019 ambayo hata kama ulilipa unaambiwa we lipa tu
 
Unafahamu kwamba hata watoto wachanga wasio jua hata kuongea wamelipishwa hiyo 29,000/= kwa mwezi? Unajua hilo?
 
Back
Top Bottom