TRA kukusanya Tsh. 4.972 trilioni

TRA kukusanya Tsh. 4.972 trilioni

Aisee 4 tirion inamaana ni 2BILIONS dollar si haba..
 
Ooh kwa hiyo dereva akanyage wese zaidi.....sio mbaya safari kuelekea dona kantre 10 tena
 
Miye kuna vichwa kadhaa kwangu vipo sidhani km wanatozwa hiyo 29,000/= maana kila kitu ni free. Wanatafuta ajira bado
 
Na hawa wapo wengi pia........hesabu zakufikirika
Hio ni wastani kutokana na jumla ya mapato. Sio kwamba, ni kweli kila mtu anatoa hiyo pesa, maana hata hivyo kuna watu kama makampuni ambao wanatoa ma millions ya pesa kila mwezi. asante
 
Miye kuna vichwa kadhaa kwangu vipo sidhani km wanatozwa hiyo 29,000/= maana kila kitu ni free. Wanatafuta ajira bado
Ni kweli, pia kuna wazee na watoto. Pia kuna makampuni ambayo wanatoa ma milioni kwa mwezi. Hiyo ni wastani tu.
 
Analinganisha mapato ya December 2020 na December zilizopita. Sio December Na miezi mingine ya mwaka huo huo. Wewe majibu yako yanaonesha umehisi kuwa alilinganisha December Na miezi mingine ya mwaka huo huo
 
Ushuru wa magari umepanda sana sasa hizo trilion ni balaa kwetu
 
Bidhaa zimepandishwa kodi mara dufu, nyie endeleeni kusifu na kumwinamia mfalme.
 
"Hata ivyo makusanyo ya shilingi 4......Trilioni bado ni madogo sana....."

Unasema bado ni madogo kwa vigezo gani mkuu? apo istoshe umefanya flat rate ya 29k kwa kila mtanzania ivi unaewa ni watanzania wangapi hawana hata uo uwezo wa kuiona iyo hela kwa siku??.

Ivi unaelewa kuwa kuna watanzania wengine iyo hela ni ujira wao wa wiki nzima?? yani mtu anapigika kisawa sawa mpaka wiki ndo anaipata

Ivi unaelewa kwa kufanya flat rate na kwa kuzingatia hayo niliyo kuambia apo juu kuna watanzania wengine wanalazimika kuwalipia watanzania wengine zaidi ya hata 20?? ( Hapa nazungumzia wawekezaji wakubwa na wakati)

Sasa nikuulize hao wawekezaji unafikiria in a long run hao wawekezaji wata weza endelea wekeza kwetu?

Mi nafikiri kuna haja ya kupatiwa taarifa za kina juu ya upatikanaji wa hayo mapato sio kufurahia tu na kushadadia mambo usiyo yaelewa na pia Soma, elewa fikiri kabla ya kutamka neno.
 
Watoto na hata wa chekechea hiyo 29,000/= wanaipata wapi?

Umedadavua ki Lumumba zaidi mkuu.
 
Sidhani katika dunia hii kama kuna binadamu punguani kuliko Mtanzania!Imagine watu wanapiga debe kusifia serekali kukusanya mapato makubwa badala ya kupiga debe serekali imefanya nini katika kuboresha vyanzo vya mapato!
178909098.jpg
 
Back
Top Bottom