Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,064
- 2,301
Nawaasa TRA kuwa kufungia biashara endelevu kwa kisa cha kukusanya malimbikizo yakodi ni mbinu ya kizamani. Badilikeni. Mna wahasibu wengi tu. Kama mnaidai kampuni na bado inaendelea na biashara pelekeni mhasibu wenu aisimamie ili fedha zinazoingia zitumike kulipa kodi inayodaiwa. Wakati huohuo kamouni itakuwa inaendelea na shughuli zake. Mbinu hii hutumiwa pia na mabenki yanapokuwa yanadai marejesho ya mikopo kwa makampuni ambayo hayajafilisika. Itumieni.