TRA karibuni miavuli ya Kariakoo

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
16,933
Reaction score
26,018
TRA na watu wengi wamekuwa wakitudharau sana, sisi watu wa miavuli , Ukweli ni kwamba kwa siku hamna hamna ninalaza 500,000/-.

Hapo bado kuna delivery ambazo wala hazipo golini, zinatoka Stoo kwenda Shekilango au kwa Transporter.

Nafsi yangu imenisuta kila siku kudanganya maskini wakati nimejenga kibada. Nina gari na watoto wanasoma English Medium ya Wakatoliki.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…