Hili swali kila mtu anajiuliza maana mchakato haupo open kama wameshatuma email kwa watu au wanaendelea kutuma.Wapo wanaosema walitumiwa email jumapili ila mimi sijaskia yeyote ninayemjua katumiwa.Labda wanaojua watasema
Hili swali kila mtu anajiuliza maana mchakato haupo open kama wameshatuma email kwa watu au wanaendelea kutuma.Wapo wanaosema walitumiwa email jumapili ila mimi sijaskia yeyote ninayemjua katumiwa.Labda wanaojua watasema
Tatizo hizi stori kila mtu anasikia tu na ndo itakua imetoka hiyo. Ni vyema wangesema kua sasa zoezi la kuchukua database limeisha na tushapata idadi tulioitaka. Simple sana