TRA kanzi data

Hili swali kila mtu anajiuliza maana mchakato haupo open kama wameshatuma email kwa watu au wanaendelea kutuma.Wapo wanaosema walitumiwa email jumapili ila mimi sijaskia yeyote ninayemjua katumiwa.Labda wanaojua watasema
 
Hili swali kila mtu anajiuliza maana mchakato haupo open kama wameshatuma email kwa watu au wanaendelea kutuma.Wapo wanaosema walitumiwa email jumapili ila mimi sijaskia yeyote ninayemjua katumiwa.Labda wanaojua watasema
Mimi niliambiwa Kuna watu wametumiwa na jana baadhi wamefuata barua
 
MImi mwenyewe sina mtu yoyote aliyetumiwa email ndo napata mashaka
 
Yeah ningekuwa nimesikia kutoka kwa watu ninaowafahamu atleast but kila unayemuuliza anasema hamna
Tatizo hizi stori kila mtu anasikia tu na ndo itakua imetoka hiyo. Ni vyema wangesema kua sasa zoezi la kuchukua database limeisha na tushapata idadi tulioitaka. Simple sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…