TRA hawajui maana ya shortlisting ?

TRA hawajui maana ya shortlisting ?

RUV ACTVIST.

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2012
Posts
472
Reaction score
111
Kuwaita watu zaidi ya 1000 kwenye interview kwa nafasi isizozidi 20 ni udhalilishaji.
 
UdhaliKIshaji= Udhalilishaji

Ni kweli kabisa lazima wajifunze kufanya shortlisting angalau wangeita 100 hivi, anyway ndio Tanzania hii
 
Hivi kwanini tra hawali rushwa ndogo kama police?
maana hao jamaa ni kuanzia laki hadi million kadhaa why?
 
Kuwaita watu zaidi ya 1000 kwenye interview kwa.nafasi isizozidi 20 ni udhalikishaji....

Hapo wamesha short list.
short list ina mwisho.Mfano umeshort list weeee umebakiza watu 1000 wote wana sifa zinazofanana.Unatakiwa uwaite wote kwenye interview
 
Jana hiyo Interview ya TRA Diamond Jubileee
 

Attachments

  • 1418451629137.jpg
    1418451629137.jpg
    108.7 KB · Views: 485
Mimi naona sawa tu. Na hapo mchujo unaendelea, baada ya written watajichuja vizuri sana.
Kikubwa wajitahidi tu kutenda haki kwenye marking, na kwenye kubakiza waliopita.
Wapewe namba na sio kutumia majina
 
Mimi naona sawa tu. Na hapo mchujo unaendelea, baada ya written watajichuja vizuri sana.
Kikubwa wajitahidi tu kutenda haki kwenye marking, na kwenye kubakiza waliopita.
Wapewe namba na sio kutumia majina

wanasema majibu yanatoka baada ya saa 24 toka umemaliza kufanya mtihani..
 
Una point hapo kwenye swali lako mtoa mada,Siku moja nakumbuka Emirates Airlines waliwaita watu waliokuwa shortlisted kwenye interview,nilibahatika kuwepo,watu tulikuwa kama 52 hivi,waliochukuliwa siku hiyo walikuwa 6 tu,kulikuwa na dada mmoja mmarekani hakuchukuliwa,alianzisha kizaa zaa cha nguvu sana,kwanza alitaka aonane na CEO pili aliuliza kwenye CV yangu mliona details zote sasa mliponiweka kwenye shortlisted maana yake asilimia 96 mmenichukua,sasa inakuaje bila maelezo mniambie hamjanichukua??ilikuwa ni shiidaa siku ile,ilibdi wamwite pembeni baada ya mwezi nilimwona akiwa ndani ya sare ya Emirates !!.
Huwezi ukaita watu shortlisted wakaja kwenye interview kwa kutumia gharama kubwa na mda wao umepoteza ukawaacha tu bila maelezo ya kulidhisha,umeona CV yangu ndio maana umeni shortlisted.
 
UdhaliKIshaji= Udhalilishahi

Ni kweli kabisa lazima wajifunze kufanya shortlisting angalau wangeita 100 hivi, anyway ndio Tanzania hii

Udhalilishahi = Udhalilishaji.

Wameita watu wengi pengine wote hao 1,000 walikua qualified for interview. Kwamba kila alie-qualify akapambane mbele ya safari!!
 
UdhaliKIshaji= Udhalilishahi

Ni kweli kabisa lazima wajifunze kufanya shortlisting angalau wangeita 100 hivi, anyway ndio Tanzania hii

Kwa uzoefu wa TRA hata 100 ni wengi. Only 30 potential candifates
 
Hapo wamesha short list.
short list ina mwisho.Mfano umeshort list weeee umebakiza watu 1000 wote wana sifa zinazofanana.Unatakiwa uwaite wote kwenye interview

Sio kweli, unashortlist kutegemea idadi ya nafasi za kazi husika na idadi ya watu sitahili walioomba. Kwa mfano, kama nafasi za kazi ni 20 na candidates walioomba ni 1000, basi unaweza kushortlist ukabaki na watu wasiozidi 100 tena hii ni kubwa sasa, wanatakiwa wasizidi 60. Kuinterview watu 1000 kwa nafasi 20 ni udhalilishaji, time wasting, kukatisha tamaa vijana na wasomi wetu na kusababisha chuki kwa serikali kwa ukosefu wa ajira kwa vijana wetu.
 
Back
Top Bottom