Diesel generator
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 706
- 660
Nijielekeze kwenye hoja. Baadhi ya wafanya biashara wamefunga biashara Zao. Wana machine za EFD nzima tu zimepaki.
Mimi mfanyabiashara mdogo mnaenihimiza kuwa na mashine kwa mtaji wa 1milioni hauniluhusu kununua efd mpya. Ila naweza pata iliotumika na nzima bule au kwa bei ndogo.
Nimeulizia kwa wakala ikiwa naweza sajiliwa na kwa utalatibu wao.Jibu ni haiwezekani kabisa!!. Hii ni teknolojia !! Nini hakiwezekani? Kuweka utaratibu unaokubalika ndio haiwezekani?. Mbona simu,gari inawezekana? .
Kwanini kusiwe na utaratibu wa efd kutumika kwa mtu wa pili ? Ukizingataia wa kwanza alisajiliwa na taarifa zake zipo ktk system na kwenye mashine?
Suala ni kubadilika mmiliki Toka tarehe anayosajiliwa!!. Ili Wenye nia Njema ya kutumia EFD pia tuchangie uchumi wetu. Thinkers wa mfumo huu Hilo amuwezi shauli ikawezekana?
Yaani nikipanga kufanya biashara nikanunua EFD , kisha nikahamishwa au kuailisha kufanya biashara na EFD mpya niliyokuwa nimenunua ndio itakuwa kifo chake?. kuna wajibu wa kutekeleza apa.
Fikilieni upya.
Mimi mfanyabiashara mdogo mnaenihimiza kuwa na mashine kwa mtaji wa 1milioni hauniluhusu kununua efd mpya. Ila naweza pata iliotumika na nzima bule au kwa bei ndogo.
Nimeulizia kwa wakala ikiwa naweza sajiliwa na kwa utalatibu wao.Jibu ni haiwezekani kabisa!!. Hii ni teknolojia !! Nini hakiwezekani? Kuweka utaratibu unaokubalika ndio haiwezekani?. Mbona simu,gari inawezekana? .
Kwanini kusiwe na utaratibu wa efd kutumika kwa mtu wa pili ? Ukizingataia wa kwanza alisajiliwa na taarifa zake zipo ktk system na kwenye mashine?
Suala ni kubadilika mmiliki Toka tarehe anayosajiliwa!!. Ili Wenye nia Njema ya kutumia EFD pia tuchangie uchumi wetu. Thinkers wa mfumo huu Hilo amuwezi shauli ikawezekana?
Yaani nikipanga kufanya biashara nikanunua EFD , kisha nikahamishwa au kuailisha kufanya biashara na EFD mpya niliyokuwa nimenunua ndio itakuwa kifo chake?. kuna wajibu wa kutekeleza apa.
Fikilieni upya.