TRA Assistant Accountant

TRA Assistant Accountant

Prince Akeem

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
886
Reaction score
382
Niaje wadau. Mimi nina gpa ya 2.7 na wamenipigia simu na kunitumia email. Wamekosea au ninastahili maaana naogopa hata kwenda
 
Niaje wadau. Mimi nina gpa ya 2.7 na wamenipigia simu na kunitumia email. Wamekosea au ninastahili maaana naogopa hata kwenda

duuuh! gpa ya 2.7 accounts???? kweli nw dayz wanafunzi wa MULUGO wameanza kuingia vyuon sasa!! ila nenda kawasikilize huwez kujua wanataka wakushaur nini!
 
Ndugu kafanye usahili,badala ya kusoma unawaza GPA?Wamekuita wao na uliandika lower division hawakujua inaanzia ngapi?uthihirishe kuwa uwezo ndio kila kitu maana kuna GPA za kupeana siku hizi huenda ya kwako ndiyo halali.Jiandae ndugu
 
Wewe ndio unafaa maana hutotaka mshahara mkubwa
 
mwana we kakamue pepa...mambo ya gpa nadhani hayamati thats y wakakuita....jiandae tu vizuri....
 
Gpa ni namba tuu.we nenda.
Watu na gpa za 4 uko.ukute kujielezea hawawez.kiingereza kiko kushoto.
Mpaka umeitwa kwa interview gpa weka pemben kabisa.
Nenda kafanye yako.jiamin
 
Shark aliekwambia Gpa ndo mshahara nani? Upo kwenye soko la ajira kwel wewe?
 
Last edited by a moderator:
niliandika na gpa ya 2.7 na wakaniita. labda sababu nina cpa
 
hiyo jipiei ni kali mbona,, kuna jamaa anakitu ile ya gentleman ila anaka CPA N CISA katulia tuu anakamata mpunga wa maana na sasa hivi anaisaka CISM
 
Shark aliekwambia Gpa ndo mshahara nani? Upo kwenye soko la ajira kwel wewe?

Sasa unafikiri Mkiitwa kwenye Company Moja but we una viji-pass vyako vilivyotokana na Supp za kumwaga plus Minusuriko ya Disqualified kila mwaka baada ya kubebeleza sana Walimu na kuwahonga wengine, mwenzio ana mabanda, akifeli sana basi B+ mtalingana??
 
kaka. gpa ya 2.7 na cpa juu itanifikisha katika malengo yangu. MULUGO hausiki,o level na advance nina matokeo mazuri sana

gpa ya 2.7 versus cpa !!mmmhhh!! kumbe cpa ni rahisi kuipata hata kama una gpa mbovu!??! daah basi sawwaaah
 
nenda kapige paper wewe unaanza kuogpa hata kwenye interv hujaingia.gpa ndo upuuzi gan sasa,we nenda kateme cheche hizo gpa kuna had za 4 ila jitu lipo shallow in deep sasa hilo nalo ni swala.jipange wewe
 
Sasa unafikiri Mkiitwa kwenye Company Moja but we una viji-pass vyako vilivyotokana na Supp za kumwaga plus Minusuriko ya Disqualified kila mwaka baada ya kubebeleza sana Walimu na kuwahonga wengine, mwenzio ana mabanda, akifeli sana basi B+ mtalingana??

Kama kafaulu cpa basi uwezo anao.huezi jua labda ndio mana wamemuita ..unadhani mhasibu mwenye gpa kubwa bila cpa atapanda mshahara ah wapi cpa ni moja ya kigezo cha kupanda mshahara.hongera zake kaka maana hapo sehemu wengi wanakwama.
 
Jamani naombeni msaada wenu kama kuna mtu mwenye TANGAZO LILE LA TRA LA POST ZA ASSISTANT ACCOUNTANT naomba anitumie
 
Back
Top Bottom