Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
.....Arusha iko chini ya Chadema lakini ni rushwa tupu.
Chadema hamuyaoni haya?
.....ndo maana mvua hazinyeshi ...Onyelile sana Ngalo
.....Arusha iko chini ya Chadema lakini ni rushwa tupu.
Chadema hamuyaoni haya?
Mzee elfayed ( baba yake doddi ) ni mzungu ? Mmiliki wa mancity naye ni mzungu ?unadhani hawajui Basi. Ni wakwepa Kodi wakubwa ndio maana jamii hizi za kihindi wasomali Na waarabu hawawezi biashara ulaya wakapata faida ya kutisha mzungu Hana Sanaa huku fair play ukimuona tajiri yeyote ulaya muheshimu.
Hata Kama Sizonje akatubu kwaajili ya mustakabali wa Taifa kwaa hili la watu kulipa kodi msela apongezwe Na kuungwa mkpno
Ni wachache mno halafu kwenye jamii/kundi la watu wabaya wengi Huwezi kukosa wazuri wachache vilevile kwenye jamii ya watu wema. Sasa tuliaDod
Mzee elfayed ( baba yake doddi ) ni mzungu ? Mmiliki wa mancity naye ni mzungu ?
Kwa hiyo ni lazima atubu tu ?Ni wachache mno halafu kwenye jamii/kundi la watu wabaya wengi Huwezi kukosa wazuri wachache vilevile kwenye jamii ya watu wema. Sasa tulia
Lazima ATUBU TUUUU