laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,760
Meneja wa TRA Arusha anajenga kijiji cha Magorofa Njiro
Kweli kabisa hapa atusha wanakula rushwa sana mi ntatoa ushahidi ikibidi
Pango inaweza ikawa bora kama kodi tunazolipa zinatumika ovyo bila kufuata taratibu na sheria za nchi!!!!Mh president alianza vizur na watu walihamasika sana kulipa kodi.Lazima tukubali kuwa wananchi kwa sasa hawaoni impacts ya kodi zao kwenye maisha zaid ugumu wa maisha.Mfanyabiashara yupo tayari kulipa Kodi ya pango ya frem Sh. 3,600,000 kwa mwaka, lakini anaona anaonewa kwa kukadiriwa Kodi ya Mapato ya Sh. 546,000 kwa Mwaka!!!!!! Wenzenu waajiriwa wanakatwa Kodi kila mwezi Bila malalamiko! Tulipe Kodi kwa maendeleo yetu.
Hapo kwenye waajiriwa hata mi nashindwaga kuelewa ..mwajiriwa anaweza akawa napokea kwamwaka 1m anakatwa arround 150,000/= PAYE ukizidisha mara 12 inakuja arround 1.5m kodi wakati hii ni kwa mlipa kodinwa kupeleka hesabu mwenye mauzo(turnover) inayozidi 20m kwa mwakaMfanyabiashara yupo tayari kulipa Kodi ya pango ya frem Sh. 3,600,000 kwa mwaka, lakini anaona anaonewa kwa kukadiriwa Kodi ya Mapato ya Sh. 546,000 kwa Mwaka!!!!!! Wenzenu waajiriwa wanakatwa Kodi kila mwezi Bila malalamiko! Tulipe Kodi kwa maendeleo yetu.
Kwa mwezi 1m sio kwa mwaka kama ilivyo hapoHapo kwenye waajiriwa hata mi nashindwaga kuelewa ..mwajiriwa anaweza akawa napokea kwamwaka 1m anakatwa arround 150,000/= PAYE ukizidisha mara 12 inakuja arround 1.5m kodi wakati hii ni kwa mlipa kodinwa kupeleka hesabu mwenye mauzo(turnover) inayozidi 20m kwa mwaka
Hili swala silielewagi kabisa[emoji119]
ni TRA iko chini ya Chadema?? au Chadema imeeajiri?? Ninyi ndio mmeweka watu wenu wala rushwa ili mseme chadema hawaoni?? na wote huko ni ni makada wa ssm na ndio wenye vyombo vyote vya kushughulikia na mambo ya rushwa na hata yakipelekwa malalamiko wanaambiwa ni ya kisiasa.. sasa mlitaka chadema wafanyeje kama sion upunguan wenu??Arusha iko chini ya Chadema lakini ni rushwa tupu.
Chadema hamuyaoni haya?
Kwa hiyo kazi ya viongozi wa chadema ni kulamba ruzuku ya chama tu??Kwa
ni TRA iko chini ya Chadema?? au Chadema imeeajiri?? Ninyi ndio mmeweka watu wenu wala rushwa ili mseme chadema hawaoni?? na wote huko ni ni makada wa ssm na ndio wenye vyombo vyote vya kushughulikia na mambo ya rushwa na hata yakipelekwa malalamiko wanaambiwa ni ya kisiasa.. sasa mlitaka chadema wafanyeje kama sion upunguan wenu??
*NINACHOJUA NI KITU KIMOJA TU KILA AFANYAYE BIASHARA LAZIMA ALIPE KODI.We pimbi ushawai kufanya biashara hata ya kuuza karanga
Sijui unamental retardation mana unapenda kuadvertise ujinga wakoKwa hiyo kazi ya viongozi wa chadema ni kulamba ruzuku ya chama tu??
G_crisimwezit: 25078458 said:Mfanyabiashara yupo tayari kulipa Kodi ya pango ya frem Sh. 3,600,000 kwa mwaka, lakini anaona anaonewa kwa kukadiriwa Kodi ya Mapato ya Sh. 546,000 kwa Mwaka!!!!!! Wenzenu waajiriwa wanakatwa Kodi kila mwezi Bila malalamiko! Tulipe Kodi kwa maendeleo yetu.
Tunataka kuona viongozi wa chadema wanafanya kaziSijui unamental retardation mana unapenda kuadvertise ujinga wako
Ya kumsifia mfalme kinafiki huku akididimiza maisha ya watu na taifa kwa ujuma.Alafu anatumia simple words """wanaolalamika walikua wapiga dili""!!!.utafikir yy hakwemo kwenye hyo serkali ya wala dili.Tumwambie ukweli aache kucheza na maisha ya watu kwa maneno mepesiTunataka kuona viongozi wa chadema wanafanya kazi
Hata rushwa ya arusha mnamsubiri magufuli?Ya kumsifia mfalme kinafiki huku akididimiza maisha ya watu na taifa kwa ujuma.Alafu anatumia simple words """wanaolalamika walikua wapiga dili""!!!.utafikir yy hakwemo kwenye hyo serkali ya wala dili.Tumwambie ukweli aache kucheza na maisha ya watu kwa maneno mepesi
ACHA UONGO MTOA POST
TRA WANATIMIZA WAJIBU WAO WA KUKUSANYA KODI
WALIPA KODI ARUSHA WALIPE KODI NI WAJIBU WAO
We Iyo buku Saba unayolipwa per day hapo LUMUMBA unailipia kodi*NINACHOJUA NI KITU KIMOJA TU KILA AFANYAYE BIASHARA LAZIMA ALIPE KODI.
*KILA AINGIZAYE KIPATO LAZIMA ALIPE KODI
*MLIZOEA KUTOLIPA KODI KWA MUDA MREFU SANA
*SIASA HAZITAWASAIDIA CHOCHOTE KILE
*LIPENI KODI
MATUSI HAYANA FAIDA WALA MSAADA WOWOTE ULE.
*KULIPA KODI NI WAJIBU*
Kwa dhuluma tu wanatudhulumu sanaMeneja wa TRA Arusha anajenga kijiji cha Magorofa Njiro
Tunaomba tuangaliwe kodizijiko juu watuwamefunga na kufungiwa madukayao