TRA ACHENI KUMODIFY/KURESTART SERVER SYSTEM WAKATI INAPOKUA INATUMIKA

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
820
1,335
Kama kuna kitu kitaendelea kurudisha nyuma jiitihada zetu za kulipa kodi na kumuunga mkono rais ni hili la system zetu za ki IT kua poor kila siku na tutaendelea kuiba.Sasa fikiri mteja anaingiza mauzo yake anakutana na hiyo kitu unafikiri atafanya nini ? Na hii sio mara ya kwanza sijajua TRA hua wanafanya nini kwenye server zao huko ndani wakati huo na pia kuna kukatika kwa network kila ijumaa ya mwisho wa mwezi na mengine mengi......ngoja niyakusanye narudi
 

Attachments

  • Untitled.png
    Untitled.png
    14.7 KB · Views: 50
  • Untitled.png
    Untitled.png
    14.7 KB · Views: 58

Similar Discussions

Back
Top Bottom