Niko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu muhimu sana wa kumshukuru Mhe. rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa shukrani za maneno na kauli. Shukrani za vitendo tutampa siku ya tarehe 28 October.
Niko hapa ukumbini kufuatilia kwa makini mkutano huu muhimu sana wa kumshukuru Mhe. rais, Dr. John Pombe Joseph Magufuli kwa shukrani za maneno na kauli. Shukrani za vitendo tutampa siku ya tarehe 28 October.