Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 433
Community Development Officer ll, ndio nafasi ambayo niliomba na kufanya "written interview" siku ya jumapili iliyopita 06 April. tulifanya interview 353 lakini wakachagua 16 kwa ajili ya "oral interview" maana wanahitaji watu 4 tu. Nilifikiri ndoto zangu za kwenda kufanya kazi na wanaMtwara zingetimia lakini haikuwa hivyo maana jana naingia kwenye "website" yao kupitia kasimu kangu nikaona namba yangu si kati ya zile zilizotiwa kivuli,yani kivuli kiliishia kwenye no. ya juu yangu! aisee!. Acha niwaze mengine hili limeshapita. Kila la kheri Mliochaguliwa !!