TPASS1, TPASS2, TPASS3, TPASS4

TPASS1, TPASS2, TPASS3, TPASS4

Bugeni

Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
22
Reaction score
37
Wakuu habarini.
Mwenye uelewa na hivi viwango vya mshahara ambavyo tpa wamevitoa kwenye hizi ajira anisadie plz.
 
Mkuu we apply then nyuti! Hayo mengine utajua mbele kwa mbele usijipe presha
 
Wakuu habarini.
Mwenye uelewa na hivi viwango vya mshahara ambavyo tpa wamevitoa kwenye hizi ajira anisadie plz.
ukipata kazi utajua kiwango cha mshahara Kijana acha kuwa na Libona utajiharibia
 
Wakuu habarini.
Mwenye uelewa na hivi viwango vya mshahara ambavyo tpa wamevitoa kwenye hizi ajira anisadie plz.
Samahani mkuu , naomba kuuliza wewe ume appy hizi kazi kwa kada ipi ? nikisha fahamu hilo Kuna kitu utaweza kunisaidia Mimi na wengine wengi
 
Hivi hapa humu wote hawana jibu au ndio makusudi tu?
 
Kuna sister Wang ameomba iyo kaz office assistant mpe.tips.kdg za kujiandaa atoboe.iyo nafss
 
Back
Top Bottom