Mkuu TPA, kwanza nimefarijika sana kuwa ni mmoja miongoni mwa walioshuhudia tukio hili jana hapo makao makuu ya TPA, nimefarijika zaidi kujua TPA ni member wa jf, hivyo sasa jf tutakuwa tunapata reliable info kutoka bandarini, hii itaisaidia sana jf kupata info za uhakika, big up TPA ku join JF.Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeingia makubaliano na Kampuni ya TradeMark East Africa (TMEA) ambayo itatoa msaada wenye thamani ya Dola Marekani Milioni 60 sawa na Shilingi za Kitanzania Bilioni 132 kwa ajili ya maboresho ya miradi mbalimbali ya Bandari ya Dar es Salaam.
Msaada huo unatarajiwa kusaidia uboreshaji wa barabara za ndani ya bandari, eneo la uhifadhi wa makontena, mizigo, kuongeza uwezo wa bandari kuchukua meli kubwa zaidi, kuendesha upembuzi yakinifu wa kuanisha maeneo mengine ya maboresho, kuifanya bandari ya dar es salaam kuwa rafiki ‘green port’ na kuangalia maboresho zaidi ya mifumo ya kielektroniki.
Makubaliano hayo yamefanyika leo Makao Makuu ya Mamlaka ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga walitia saini makubaliano hayo mbele ya vyombo vya habari.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko (watatu kulia) na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga (wapili kulia) wakiweka saini makubaliano hayo mbele ya vyombo vya habari
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akibadilishana hati ya makubaliano na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga mara baada ya kuweka saini makubaliano hayo.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga wakionesha hati ya makubaliano mara baada ya kuweka saini makubaliano hayo.
Mkuu wa Shirika la DFID Tanzania, Bw. Vel Gnanendran (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika hafla hiyo. Katikati ni Kaimu Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Karim Mattaka.
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko (wanne kushoto) akijibu maswali ya waandishi wa habari katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga (kulia) akijibu maswali ya waandishi wa habari katika hafla hiyo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
Mkuu TPA, kwanza nimefarijika sana kuwa ni mmoja miongoni mwa walioshuhudia tukio hili jana hapo makao makuu ya TPA, nimefarijika zaidi kujua TPA ni member wa jf, hivyo sasa jf tutakuwa tunapata reliable info kutoka bandarini, hii itaisaidia sana jf kupata info za uhakika, big up TPA ku join JF.
Sahihisho dogo, Trademark East Africa sio kampuni, ni taasisi ambayo ni NGO.
Paskali
Hongereni sana TPA,Naomba sana muangalie miundo mbinu ya getini hasa wakati wakutoa mizigo mipana na mikubwa sisi watu wa usafirishaji tunapata shoda sana kona ni ndogo sana hasa geti no 3,jaribuni kuliangalia upya bado mageti yenu niyale ya zamani,kuweka hizo mashine za ukaguzi sio suluwisho kikubwa nikuweka njia pana na bora ya kupitisha kila aina ya mizgo.Muangalie na SCANA mashine utendaji sio mzuri wa hapo ni hatari sana kwa maisha ya madereva
Lakin Uncle si alisema ataki misaada...Babati huu ni msaada kutoka Serikali ya Uingereza.
Mkuu hujajibu swali, tofauti ya msaada na mkopo? maanake kila siku nasikia misaada lakini deni la taifa linaongezekana.Babati huu ni msaada kutoka Serikali ya Uingereza.
Kuna kitu huwa kinachanganya sana, huwa ni misaada kweli au mikopo?[/QUOTE
Ni mikopo,siyo misaada ni lugha tu hapo ili wazungu tuwapendeKuna kitu huwa kinachanganya sana, huwa ni misaada kweli au mikopo?
Umeshaambiwa ni msaada wewe unang'ang'ania mkpo sijui deni la taifa linaongezeka. TPA haiwezi kuongelea deni la taifa hilo muulize waziri wa fedha ila naona tpa wapo clear kwamba ni msaada kutoka uingerezaMkuu hujajibu swali, tofauti ya msaada na mkopo? maanake kila siku nasikia misaada lakini deni la taifa linaongezekana.
Hujalazimishwa kujibu, acha wajibu wenye ufahamu. Tatizo nini kwako?Umeshaambiwa ni msaada wewe unang'ang'ania mkpo sijui deni la taifa linaongezeka. TPA haiwezi kuongelea deni la taifa hilo muulize waziri wa fedha ila naona tpa wapo clear kwamba ni msaada kutoka uingereza
it's shameful kwa taasisi kama TPA kusaidiwa. operations zake ni 100% commercial oriented so ina uwezo wote kabisa wa kuji-sustain yenyewe.Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeingia makubaliano na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) ambayo itatoa msaada wenye thamani ya Dola Marekani Milioni 60 sawa na Shilingi za Kitanzania Bilioni 132 kwa ajili ya maboresho ya miradi mbalimbali ya Bandari ya Dar es Salaam.
Msaada huo unatarajiwa kusaidia uboreshaji wa barabara za ndani ya bandari, eneo la uhifadhi wa makontena, mizigo, kuongeza uwezo wa bandari kuchukua meli kubwa zaidi, kuendesha upembuzi yakinifu wa kuanisha maeneo mengine ya maboresho, kuifanya bandari ya Dar es Salaam kuwa rafiki ‘green port’ na kuangalia maboresho zaidi ya mifumo ya kielektroniki.
Makubaliano hayo yamefanyika leo Makao Makuu ya Mamlaka ambapo Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga walitia saini makubaliano hayo mbele ya vyombo vya habari.
View attachment 443403
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko (watatu kulia) na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga (wapili kulia) wakiweka saini makubaliano hayo mbele ya vyombo vya habari
View attachment 443404
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko akibadilishana hati ya makubaliano na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga mara baada ya kuweka saini makubaliano hayo.
View attachment 443405
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko na Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga wakionesha hati ya makubaliano mara baada ya kuweka saini makubaliano hayo.
View attachment 443412
Mkuu wa Shirika la DFID Tanzania, Bw. Vel Gnanendran (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika hafla hiyo. Katikati ni Kaimu Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Karim Mattaka.
View attachment 443413
Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Eng. Deusdedit Kakoko (wanne kushoto) akijibu maswali ya waandishi wa habari katika hafla hiyo.
View attachment 443414
Mkurugenzi Mkazi wa TradeMark East Africa (TMEA), Bw. John Ulanga (kulia) akijibu maswali ya waandishi wa habari katika hafla hiyo.
View attachment 443416
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
View attachment 443409
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
View attachment 443407
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.
View attachment 443410
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakishuhudua tukio hilo.