Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Habari wanaJF,
Hatimae mamlaka ya bandari ya Tanzania yaani TPA leo jumatatu tarehe 02.05.2016 wamejitokeza hadharani na kukiri kupungua kwa mizigo inayoingia kupitia bandari haswa ya Dar es Salaam.
Wakiongea na waandishi wa habari maafisa wa TPA wasemesema sababu kubwa kuwa ni uchumi wa dunia kuyumba na haswa nchi kama China na kwingineko ambako mizigo inayopitia bandari ya Dar es Saam hutoka.
===========
My Take: Isijekuwa hii sio sababu thabiti yawezekana yapo mengi nyuma ya pazia
Hatimae mamlaka ya bandari ya Tanzania yaani TPA leo jumatatu tarehe 02.05.2016 wamejitokeza hadharani na kukiri kupungua kwa mizigo inayoingia kupitia bandari haswa ya Dar es Salaam.
Wakiongea na waandishi wa habari maafisa wa TPA wasemesema sababu kubwa kuwa ni uchumi wa dunia kuyumba na haswa nchi kama China na kwingineko ambako mizigo inayopitia bandari ya Dar es Saam hutoka.
===========
My Take: Isijekuwa hii sio sababu thabiti yawezekana yapo mengi nyuma ya pazia