Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #21
Ujanja mwingine wa ORYX kama wawekezaji. (Na hili linaweza leta ugumu sana kwenye kuuvunja mkataba na wao) wame chukua eneo la nje ya Tiper, hati ikatoka kwa jina la Tiper kama mmiliki, lakini ORYX ndiye anaejenga Gas plant kubwa pale. Eneo lina ekari karibia 20. Hapa Serikali itapata faida finyuuuu (kwa kupata dividend ya kodi, wakati oryx wakiitumia kupiga biashara)