Tp mazembe wanunua ndege yao

Dr. Nsaji

Member
Aug 9, 2011
9
0
296005_265135640175403_120177301337905_946943_1189566520_n.jpg 307570_265136046842029_120177301337905_946944_354008882_n.jpg 308665_265136430175324_120177301337905_946947_1894982009_n.jpg 309245_265136123508688_120177301337905_946945_1378588240_n.jpg 313535_265137766841857_120177301337905_946957_1711109011_n.jpg 316230_265137576841876_120177301337905_946954_1142885286_n.jpg 316960_265137993508501_120177301337905_946958_2062116590_n.jpg 317130_265136223508678_120177301337905_946946_1780900583_n.jpg
 
dah kwel hawa jamaa wako juu.sio soka la kwetu maneno mengi na klabu kubwa ambazo zipo toka hata sijazaliwa uwanja tu ni hadithi nyingine.kwa taarifa tu hawa jamaa hili ni dege lao la pili
 
Haya sasa SImba Yanga Mtibwa Azam, African Lyon sasa tunataka kuona maendeleo ya soka na si ubabaishaji
 
Jamani tuongeeni tu ukweli, sitaki kumdhalilisha mtu. Ni kwamba washauri katika klabu zetu ni wazee hawajaenda hata shule wao wanakali kupiga kamati za ufundi. Timu za wenzetu wana washauri walioeenda shule, wengi wao wana masters za business admin. na wengine economics we unafikiri hawatakuja na miradi ya maana ya maendeleo? Sasa mzee mshauri wa timu ya kibongo hata ndege hajawahi kupanda, yeye kwenye akili yake anaamini vitu kama hivyo haviwezekaniki kwenye club yao, ona hapo mwenyewe.
 
Back
Top Bottom