dah kwel hawa jamaa wako juu.sio soka la kwetu maneno mengi na klabu kubwa ambazo zipo toka hata sijazaliwa uwanja tu ni hadithi nyingine.kwa taarifa tu hawa jamaa hili ni dege lao la pili
Sisi wenzao mapato tunayamalizia kwenye kamati ya ufundi.............., wengine timu ina miaka lukuki lakini hata jengo haina, sijui tatizo ni rangi ya club au la!, lol
Jamani tuongeeni tu ukweli, sitaki kumdhalilisha mtu. Ni kwamba washauri katika klabu zetu ni wazee hawajaenda hata shule wao wanakali kupiga kamati za ufundi. Timu za wenzetu wana washauri walioeenda shule, wengi wao wana masters za business admin. na wengine economics we unafikiri hawatakuja na miradi ya maana ya maendeleo? Sasa mzee mshauri wa timu ya kibongo hata ndege hajawahi kupanda, yeye kwenye akili yake anaamini vitu kama hivyo haviwezekaniki kwenye club yao, ona hapo mwenyewe.