Tozo kwenye mafuta zimepunguzwa, ila bei imepanda. Kuna sehemu tunakosea?

Ukiangalia ukiwa kichwa chini miguu huko unakodhani juu, utaona bei imeshuka
 
Walijua bei ya dunia itapanda tena, hivyo mafuta yangepanda mara dufu. Ingeleta kelele. Wakakutana fasta na kukubaliana kuondoa baadhi ya tozo ili bei mpya isilete lawama kubwa. Wamecheza na akili za watu tu.
 
Unahisi tozo zingepanda hii bei ingesubiri mchakato unaosema mkuu au inepanda leo leo?
 
Nadhani wapo watu huwa hawatafuti usahihi au sababu ya tukio. Wanatafuta jambo la kulaumu serikali. Wakishapata ni kulaumu tu haijalishi uhalisia ni nn.
 
Unahisi tozo zingepanda hii bei ingesubiri mchakato unaosema mkuu au inepanda leo leo?
Mkuu hii nchi tuiache tu, mala unaambiwa eti ktk bei ya leo ilivyopanda tayari hizo tozo zimeshapunguzwa humo!!!eti bila hizo tozo leo dar tungenunua mafuta kwa karibia 2600!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…