Habari wakuu!
Mimi ni mgeni kwenye haya maswala ya magari na nilitaka nitolewe tongotongo! Kuna hizi Vitz muundo mpya wa kuanzia 2005 nilitaka kujua uwezo wake kwa mizunguko ya hapa DSM na ulaji wake wa mafuta na uwezo wake labda kusogea kidogo mpaka Mkoa wa Pwani au mara chache Morogoro. Je, zinaweza kustahimili au ndo kuchemsha kama nilivosoma kwenye thread moja kuhusu Toyota Passo!
Maelezo ya ziada ya gari
zipo Vitz za >2005 zenye 990cc na zina engine code 1KR na nyingine ni 1290cc either engine code 2NZ au ipo yenye engine code 2SZ!
Budget yake kutoka Japan ni around 9.3M kupanda juu na iko ndani ya budget yangu je nichague ipi kati ya hizo kulingana na hayo matumizi yangu na ulaji wa mafuta!
Shukrani!
Mimi ni mgeni kwenye haya maswala ya magari na nilitaka nitolewe tongotongo! Kuna hizi Vitz muundo mpya wa kuanzia 2005 nilitaka kujua uwezo wake kwa mizunguko ya hapa DSM na ulaji wake wa mafuta na uwezo wake labda kusogea kidogo mpaka Mkoa wa Pwani au mara chache Morogoro. Je, zinaweza kustahimili au ndo kuchemsha kama nilivosoma kwenye thread moja kuhusu Toyota Passo!
Maelezo ya ziada ya gari
zipo Vitz za >2005 zenye 990cc na zina engine code 1KR na nyingine ni 1290cc either engine code 2NZ au ipo yenye engine code 2SZ!
Budget yake kutoka Japan ni around 9.3M kupanda juu na iko ndani ya budget yangu je nichague ipi kati ya hizo kulingana na hayo matumizi yangu na ulaji wa mafuta!
Shukrani!