Toyota Raum new model inauzwa bei chee

Toyota Raum new model inauzwa bei chee

Wabongo hatuna dogo mkuu ungeweka bei kubwa ungesikia umeuza bei juu sana sasa umeweka bei ya kweli wanasema imekuwa ndogo mno labda mbovu duh wabongo shida
Ubinadamu kazi sana mkuu ....tatizo washazoea kudanganywa ukiwapa bei ya kweli shida....ila ndy hvyo inabidi tuwavumilie TU hehe

Ova
 
Mmh raumu milion 5? Kuna jambo hapa maana kwa akili ya kawaida isingefika kuitangaza hapa hata ndugu zako wa karib wangeinunua.
Una utani na pesa ya magu wewe. Kama unayo ujue rahisi ikiwa hata wewe now huna ujue namba kwa wote.
 
Mkuu gari imesama ila hapo kwenye tairi ya mbele kwa juu haikupata ajali?nikiangalia usawa wa hapo na huo mstari kama havipo sawa au ni macho yangu?
 
Mkuu gari imesama ila hapo kwenye tairi ya mbele kwa juu haikupata ajali?nikiangalia usawa wa hapo na huo mstari kama havipo sawa au ni macho yangu?
ISHAUZWA LEOO

OVA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom