toyota prado naiuza

toyota prado naiuza

Kitimbwisi

Senior Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
155
Reaction score
72
nauza gari toyota prado.. 1KZ nipo dodoma.. inatembea pia haidaiwi.. kama unaihitaji na picha nipigie 0755965924. ni namba T 423 AWE
 
Yaani hata picha tu mpaka watu waumize credit zao. Utadhania unawasaidia kumbe wao ndo wanakusaidia.
 
nimetoa namba ya simu ili anaehitaji anitafute nimtumie picha.. nimeshindwa kuweka picha humu jf
 
nimetoa namba ya simu ili anaehitaji anitafute nimtumie picha.. nimeshindwa kuweka picha humu jf
mm mwenyewe nipo Dodoma
kitu kilichowatisha Member ni hizo No AWE ni lazuna utajuwa PRADO ya 1990 zaidi ya miaka 24 iliyopita bora uweke picha, wajue Model, mwaka, engine nk
itasaidia ili wafikie maamuzi ya kuifuatilia

au itangaze kwa Zoom Tanzania.com
ni ushauri tu
 
mm mwenyewe nipo Dodoma
kitu kilichowatisha Member ni hizo No AWE ni lazuna utajuwa PRADO ya 1990 zaidi ya miaka 24 iliyopita bora uweke picha, wajue Model, mwaka, engine nk
itasaidia ili wafikie maamuzi ya kuifuatilia

au itangaze kwa Zoom Tanzania.com
ni ushauri tu

Labda ni ya wizi
 
Labda ni ya wizi
Diiii hahahahahahahahahahaaaaaaaaa
akiniruhusu nitawatumieni picha yake ngoja nizunguke na ka-china kangu
km sikosei haina rangi nyeupe ina rangi ya ..................
Sheria za JF bado ngumu
kwanza atoe bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom