Ndio hicho kitu nasema sidhani kama kinawezekana kuwa na Landcruiser kubwa kama Prado ukakuta lina 4 Cylinder.
Na kama ipo, engine ya 4 Cylinder kuvuta Prado itakuwa haina nguvu, utakuta inalazimika kutumia mafuta yale yale kama 6 cyl.
Kwa nini usi consider Prado ya diesel? Again, kama lengo ni ku save kwenye mafuta.
Sasa 2TR ina cylinder ngapi? Kama sio nne ...prado lenye 6 ni lile la cc 4000 petrol....zingine sinui kina 5L 1KD ni 4cyltu
Kuhusu nguvu tunaangalia output ya engine husika .,.sidhani kama unaijua 1GD ftv utaikuta kwa hiace na prado za kwanzia generation ya 4 ....ni 4cyl tu nguvu ni zaidi ya vicruza vya 1HD zenye 6cly hata kusepa kufika 100 linaizid cruza lx hizi