Toyota Nadia for sale 3.5M

Toyota Nadia for sale 3.5M

wewe mshana unaonekana welewa wako ni mdogo sana, mtu akicoment kitu ww kazi ako ni kuitikia tu, sina hakika hata na jinsia yako kiukweli mana unayo yafanya na pic ya profile ni tofauti simama kwenye msimamo wako bro hata kama umepost ujinga ushikirie huohuo
 
wewe mshana unaonekana welewa wako ni mdogo sana, mtu akicoment kitu ww kazi ako ni kuitikia tu, sina hakika hata na jinsia yako kiukweli mana unayo yafanya na pic ya profile ni tofauti simama kwenye msimamo wako bro hata kama umepost ujinga ushikirie huohuo

Hebu tumia ile ID yako halisi usijifiche kwenye hili chaka la ID mpya
 
siko kwenye intrest nazungumzia weredi wa mtu, embu preview coment zte za huyo mshana jr uone. hajaongea jambo la maana hata moja. kwani jf inalazmisha watu kucoment utumbo? if you got no point..kaa pembeni wenye point watoe.....huo ni ukike!
 
nadia ni janga jamani tuambiane tu ukweli ila ikipata mtunzaji haina shida kivile

afadhali umewaambia ukweli

halafu sina nia ya kuharibu soko la mtu bali kusaidia pande zote mbili ili baadae pasiwepo na kulaumiana

nadia ni vimeo balaaah!!!!

Samahani kama naharibu biashara ila natumia uhuru wa jukwaa...

likuaga nayo ukiendesha kwa muda inaishiwa nguvu mpaka u restart engine kama laptop yenye ram ya 1kb.

ndugu muuzaji huu ndio ukweli wa nadia
 
siko kwenye intrest nazungumzia weredi wa mtu, embu preview coment zte za huyo mshana jr uone. hajaongea jambo la maana hata moja. kwani jf inalazmisha watu kucoment utumbo? if you got no point..kaa pembeni wenye point watoe.....huo ni ukike!

Ni haki yako kusema hivyo na mengine ambayo hutaweza kuyaandika hapa lakini ukweli utabaki kuwa ukweli...endelea kutukana upate afueni
 
siko kwenye intrest nazungumzia weredi wa mtu, embu preview coment zte za huyo mshana jr uone. hajaongea jambo la maana hata moja. kwani jf inalazmisha watu kucoment utumbo? if you got no point..kaa pembeni wenye point watoe.....huo ni ukike!

Mkuu sio ukike amejaribu kutoa picha ya kile unachouza ili watu waelewe wasikurupuke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom