Toyota Nadia for sale 3.5M

Toyota Nadia for sale 3.5M

Halafu zina tabia ya kupiga chafya na kukata moto mpaka uipulizie dawa ya mbu ndio inapona

Ha ha ha ha kumbe ndo mana zinauzwaga bei cheee hivyo?

Mkuu vipi kuhusu corolla 111
 
Halafu zina tabia ya kupiga chafya na kukata moto mpaka uipulizie dawa ya mbu ndio inapona
Teh teh, umenikumbusha kitu, kuna jamaa pale kinondon alinunua gar kutoka ujeruman, kilichotokea likawa haliwaki na akitaka kuliwasha anapulizia dawa ya mbu ya rungu ndo gar inawaka, aisee!
 
Teh teh, umenikumbusha kitu, kuna jamaa pale kinondon alinunua gar kutoka ujeruman, kilichotokea likawa haliwaki na akitaka kuliwasha anapulizia dawa ya mbu ya rungu ndo gar inawaka, aisee!

Huo ugonjwa unaitwa mafua ya gari na hiyo ndio tiba yake
 

Attachments

  • 1428037841725.jpg
    1428037841725.jpg
    40.1 KB · Views: 318
  • 1428037861224.jpg
    1428037861224.jpg
    47.5 KB · Views: 303
Nadia ni janga jamani tuambiane tu ukweli ila ikipata mtunzaji haina shida kivile
Mi nadhani mafundi wetu ndiyo janga, wanatakiwa wajiendeleze. Unajua kwa nini nasema hivyo, zingekuwa na tatizo la kutoka kiwandani tungeskia mass recall miaka hiyo, lakini wenzetu wanapigia mizigo bila shida, gari la 2003 mmbongo unaliagiza lishachabanga miaka kumi bado liko poa tu, ukilileta bongo miaka miwili tu linaanza kuleta tabu...nadhani kuna kitu huwa tunakosea!
 
Garage hazina wasomi wa matatizxo ya magari, uzoefu wa kuigwa ndio unatumika kuua masgari na tunavyopenda maintenance za bei cheap hapo ndio kifo cha gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom