MIMI NA TZ
Senior Member
- Apr 22, 2014
- 197
- 18
- Thread starter
- #41
Beri ni nzuri kwa gari hiyo,maana kama sikosei ni Six hiyo.
Halafu usiombe gari iandikwe inauzwa kama ilivyowekwa hiyo makaratasi,yaani huwa inakaa muda kweli haijapata mteja sijui kwanini
Hapana hii Gari ni 4 sio 6 ,yani mafuta hapo inanusa haitumii mafuta kabisa