Toyota mark ii milion 2 Mwanza

Toyota mark ii milion 2 Mwanza

Sitakiiii mume wangu kaniambia mwakani atanininunulia brevis
brevis liliso na injini wapi na wapi, kamata Mark II. Betri ikileta ubwege mwanaume nakusukuma kwa nyuma weye huyooooooo.
 
Kama huna utaalamu na magari njo na mtaalamu wa magari akague ukirizika tunafanya Biashara

Hapana banaaaa... Hata kama sina utaalamu wa magari, bado siwezi nunua gari kwa bei ya BOXER piki piki... Hapo kuna walakini...
 
  • Thanks
Reactions: amu
ImageUploadedByJamiiForums1418905088.740717.jpg ImageUploadedByJamiiForums1418905149.671004.jpg ImageUploadedByJamiiForums1418905177.000410.jpg
Kazi kwenu bei bado ni milioni 2 tumliokuwa mnataka picha hizo hapo napatikana Kwa 0788752672
 
Hapana banaaaa... Hata kama sina utaalamu wa magari, bado siwezi nunua gari kwa bei ya BOXER piki piki... Hapo kuna walakini...

Kaka acha tu...
Leo usiku naenda kuchukua gari kwa 1.8k ni kavitz ila kazima namba bjs kikubwa huyu bwana anahusika na magari na kila mwaka january anauza magari ili aagize mengine.
Hiyo 1.8k ni sababu ya dalali kataka cha juu ila hela yake halali ni 800,000.
january mwaka jana nlinunua kwake landcruiser vx v8 kwa 13million...
Haya mambo ya magari siyo kabisa
 
Nakuongezea mill lilete dar
Nte linafikia garage kwanza kwa ukaguzi juu yangu baadaya matokeo deal inakuwa dne
 
Kaka acha tu...
Leo usiku naenda kuchukua gari kwa 1.8k ni kavitz ila kazima namba bjs kikubwa huyu bwana anahusika na magari na kila mwaka january anauza magari ili aagize mengine.
Hiyo 1.8k ni sababu ya dalali kataka cha juu ila hela yake halali ni 800,000.
january mwaka jana nlinunua kwake landcruiser vx v8 kwa 13million...
Haya mambo ya magari siyo kabisa
Nakubaliana na wewe Amu.
Mambo ya magari we ukitaka weka pesa standby tu,utauziwa bei mwenye uogope.
Maana mie juzi tu kuna mtu kaniletea Noah mbichi kabisaa anataka milioni sita tu.maana kuna gari zake zimekwama Bandarini.
Mbaya zaiidi kanikuta siko fresh.Watu wakabeba.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Beri ni nzuri kwa gari hiyo,maana kama sikosei ni Six hiyo.
Halafu usiombe gari iandikwe inauzwa kama ilivyowekwa hiyo makaratasi,yaani huwa inakaa muda kweli haijapata mteja sijui kwanini
 
Nakubaliana na wewe Amu.
Mambo ya magari we ukitaka weka pesa standby tu,utauziwa bei mwenye uogope.
Maana mie juzi tu kuna mtu kaniletea Noah mbichi kabisaa anataka milioni sita tu.maana kuna gari zake zimekwama Bandarini.
Mbaya zaiidi kanikuta siko fresh.Watu wakabeba.

mi naamini mambo ya magari ni connection tu na uwe na hela cash.
Sasa wanaobisha eti tu 2m ni ya boxer.
Huyo ni wakuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom