Kipindi hicho wazee mlikuwa mnaenda weekend pale Babylon Kilosa mjini kutumia nje unakuta vyuma vimepaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama naona jinsi ulivyofaidi shombe shombe na waarabu koko wa Kimamba na Kilosa mjini.
Babylon tushalewa sana ila pale batini kwa mama Rama ndy usiseme
Si unajua life ya pori lazima ulanduke
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhMkuu kama naona jinsi ulivyofaidi shombe shombe na waarabu koko wa Kimamba na Kilosa mjini.
Haya maisha sio fair kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ni mtungi basiiiMkuu kama naona jinsi ulivyofaidi shombe shombe na waarabu koko wa Kimamba na Kilosa mjini.
Haya maisha sio fair kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi kile nilisikia kuna jamaa wa madini kule Kilosa alikuwa akienda baa na wapambe anaacha Land Cruiser ikiwa silence wakati wanapiga pombe.
Duh ......mambo ya kishamba hayoKipindi kile nilisikia kuna jamaa wa madini kule Kilosa alikuwa akienda baa na wapambe anaacha Land Cruiser ikiwa silence wakati wanapiga pombe.
Na kuna muda wapambe wanapewa kreti za bia wanasafisha gari yote kwa kutumia bia tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu uendee porini
Duh Offshore Seamen na mrangi mmemikumbusha hako kaMji ka Mjerumani vilima vyake vya madini vitongoji vya Manzese, Magomeni, Mkadage na sasa wameingia waTuruki wakichimba reli Mwendo kas, siisahau Golden Folkya Waziri na vimwana wa Kilosa bila gari ya kazi huendeshi barabara za huko na huvipandi vilima vyakeKipindi kile nilisikia kuna jamaa wa madini kule Kilosa alikuwa akienda baa na wapambe anaacha Land Cruiser ikiwa silence wakati wanapiga pombe.
Na kuna muda wapambe wanapewa kreti za bia wanasafisha gari yote kwa kutumia bia tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe na mwenzio mtakuwa zao la shule za mtakatifu flani, mpewe majibu hamtaki jisomea.shida ya waswahili baada ya kujibu swali wanaanza mastory mengine jibuni swali watu tujifunze
Haya maeneo kama ya Mbinga hivi tunayatumia sana tunapoenda kuwasalimia wazee kijijini!!Ukiwa arusha wenye land rover wote sisi ni kama ndugu popote mnapokutana lazima msalimiane. Alafu ni marufuku kumpita mwenzako kama amearibikiwa lazima usimame na umjulie hali ndio uendelee na safari. Tools box must iwepo kwenye gariView attachment 991221View attachment 991223View attachment 991226
Sent using Jamii Forums mobile app
basi sawawewe na mwenzio mtakuwa zao la shule za mtakatifu flani, mpewe majibu hamtaki jisomea.
mbona majibu yako wazi humu ama mnataka wayaandike kama point
nimekusoma mkuuCheki moja ya sababu ya bei kubwa...
mm nimeshangaa mnyororo wa kumvutia mbwa ?Cheki moja ya sababu ya bei kubwa...
1. Gharama Nafuu
Toyota iliyotumika kidogo Japan ni gharama nafuu zaidi ya Ford kutoka marekani (au hata nchini). Pia, serikali ya Tanzania inawaruhusu wauzaji wenyeji kuingiza magari haya kwa gharama za chini zaidi. Kwa, bei yake ya kununua nayo ni chini kulingana na magari mengine.
2. Hazitumii mafuta mengi
Magari madogo ya Toyota yanajulikana kwa kutotumia mafuta mengi. Hata magari yao makubwa mengine (Prado kwa mfano), hayatumii mafuta mengi kukizilinganisha na magari makubwa ya makampuni mengine. Kwa mji kama Dar es Salaam yeneye foleni nying, hii ni muhimu.
3. Upatikanaji wa spea
Kwa kuwa Toyota ni maarufu sana, spea zake zinapatikana kiurahisi zaidi pia, ambayo inapunguza gharama ya utunzaji.
4. Zina wataalam wengi
Kwa kurudia, Toyota ni maarufu sana Tanzania na hivyo, fundi wengi wa magari wana ujuzi wa magari ya Toyota.
Mtu mwenye gari la Volkswagen Polo, kwa mfano, atapata shida sana kutafuta fundi mzuri na pia, matengenezo yatakuwa ya gharama kubwa zaidi.
5. Kuna aina ya gari kwa wote
Swala la kuchagua gari la kununua ikijitokeza, watu wengi wanafikiria aina za Toyota na sio aina za magari. Toyota ina aina nyingi za magari zinazokidhi mahitaji ya watu mbalimbali. Kwa kifupi, mtu yoyote anaweza akaendesha Toyota.
Labda sisi ndio wenye mchango mkubwa nchini kwa umaarufu wa Toyota
Ukweli ni kwamba watanzania wana amua kununua gari kutokana na mapendekezo ya family au marafiki. Kwa kweli, kwa kuwa Toyota ni maarufu kuliko wengine ni rahisi sana kutafuta gari ya kampuni hiyo tu. Ila, kuna faida ya kuangalia magari ya makampuni mengine pia.
Kwa wale wadau wa Movie katika ile movie ya Point Break (2015) utaona kwenye ile milima Land cruiser 1hz Hard Top inavyopanda mlima na kuisukuma pembeni Range Rover.Cheki moja ya sababu ya bei kubwa...