Toyota landcruser Pickup ina nini mpaka iwe bei kubwa?

Duh ......mambo ya kishamba hayo
Tunduru ndy walikuwa wanafanya hivo zaidi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh Offshore Seamen na mrangi mmemikumbusha hako kaMji ka Mjerumani vilima vyake vya madini vitongoji vya Manzese, Magomeni, Mkadage na sasa wameingia waTuruki wakichimba reli Mwendo kas, siisahau Golden Folkya Waziri na vimwana wa Kilosa bila gari ya kazi huendeshi barabara za huko na huvipandi vilima vyake
 
shida ya waswahili baada ya kujibu swali wanaanza mastory mengine jibuni swali watu tujifunze
wewe na mwenzio mtakuwa zao la shule za mtakatifu flani, mpewe majibu hamtaki jisomea.

mbona majibu yako wazi humu ama mnataka wayaandike kama point
 
Cheki moja ya sababu ya bei kubwa...

mm nimeshangaa mnyororo wa kumvutia mbwa ?
bora bomba ningeamini hebu tumieni Principal ya acceleration Mass x velocity
basi hata ng'ombe wangu wa kulimia watalivuta hilo lilori
 
Umeongea point kaka. Inabidi watu waangalie na makampuni mengine sio Toyota tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…