Toyota Land cruiser Prado

Mugunga

JF-Expert Member
Jun 13, 2016
640
908
Wadau naomba kufahamishwa.Haya magari nayapenda mno.Kuna moja nimeiona kwenye site ya Befoward ina taarifa zifuatazo
Year of manufacturer: 1998
Engine: 3378cc
Location: Japan
Price:$2,732/_
Kuna mambo nimekuwa nikijiuliza kuhusu gharama halisi za kuingiza gari kama hii:
1- Nitalipa kiasi gani mpaka gari niwe nayo mkononi?(shipping, taxes, registration na nyinginezo)
Hapa nahitaji ushauri wa mtu mwenye uzoefu wa kuingiza magari nchini au mtu wa bandarini mwenye uzoefu na mambo haya.
2-Suppose naingiza Gari hiyo ili niichukulie Bujumbura, au mkoa wowote wa Burundi ili kuepuka changamoto za kodi kubwa bandari yetu ya Dar,nitakutana na changamoto gani?Kuna mtu alishawahi kuagiza gari na kuipokelea nje ya bandari yetu na akafanikiwa?
3-Watu wamekuwa wakikosoa juu ya ubora na uimara wa magari haya.Nataka kusikia kutoka kwa mtu mwenye nalo,analionaje?Ni kweli huwa yanachomoka matairi?
Asanteni. Nitafurahi iwapo wenye uzoefu watanijibu.
 
Jamaa yetu acha kabisa kuchukulia gari nje ya Nchi, kwani Kodi inaweza kuzidi
pia hiyo gari bado ni ya zamani 1998 ambapo kwetu TZ zimejazana
kwanini usiingie www.zoomtanzania.com ukakagua hiyo Prado au Prado TX kwa bei ya maelewano na bei nafuu hata kwa mkopo kitakachokushinda kulipa?
nina maana kuna faini ya kuingiza gari ambayo imevuka miaka 10 tangu kuundwa
bado Tyre zitakuwa zimepita muda
service zitakuwepo kibao
lm ni Be Forward kachague tu pale kwao Barrack Obama road
 
Toyota Vehicles for Sale
ipo Prado ya mwaka 2006 kwa milioni sita tu (6,000,000)
zaidi ya hapo endelea mwenyewe kusearch
8153d281c49f9eda2f547d9055465574fd9d48a4.png
 
Jamaa yetu acha kabisa kuchukulia gari nje ya Nchi, kwani Kodi inaweza kuzidi
pia hiyo gari bado ni ya zamani 1998 ambapo kwetu TZ zimejazana
kwanini usiingie www.zoomtanzania.com ukakagua hiyo Prado au Prado TX kwa bei ya maelewano na bei nafuu hata kwa mkopo kitakachokushinda kulipa?
nina maana kuna faini ya kuingiza gari ambayo imevuka miaka 10 tangu kuundwa
bado Tyre zitakuwa zimepita muda
service zitakuwepo kibao
lm ni Be Forward kachague tu pale kwao Barrack Obama road
Ubarikiwe aisee,nimeona hii site iko vizuri mno.
 
Hii Gari inauzwa M6????? Ama mm ndio sijaelewa hapo.!
Mkuu mbona nimekuwekea Link hapo wewe bofya tu utaikuta simu hapo ongea na muuzaji, akuelezee na sifa au tatizo lake
kukutafunia yote siwezi ndio maana ya kuwekewa link
 
Wadau naomba kufahamishwa.Haya magari nayapenda mno.Kuna moja nimeiona kwenye site ya Befoward ina taarifa zifuatazo
Year of manufacturer: 1998
Engine: 3378cc
Location: Japan
Price:$2,732/_
Kuna mambo nimekuwa nikijiuliza kuhusu gharama halisi za kuingiza gari kama hii:
1- Nitalipa kiasi gani mpaka gari niwe nayo mkononi?(shipping, taxes, registration na nyinginezo)
Hapa nahitaji ushauri wa mtu mwenye uzoefu wa kuingiza magari nchini au mtu wa bandarini mwenye uzoefu na mambo haya.
2-Suppose naingiza Gari hiyo ili niichukulie Bujumbura, au mkoa wowote wa Burundi ili kuepuka changamoto za kodi kubwa bandari yetu ya Dar,nitakutana na changamoto gani?Kuna mtu alishawahi kuagiza gari na kuipokelea nje ya bandari yetu na akafanikiwa?
3-Watu wamekuwa wakikosoa juu ya ubora na uimara wa magari haya.Nataka kusikia kutoka kwa mtu mwenye nalo,analionaje?Ni kweli huwa yanachomoka matairi?
Asanteni. Nitafurahi iwapo wenye uzoefu watanijibu.
Mkuu hizo gari ni nzuri sana, very comfortably car, ni ngumu. Kwenye yard za hapa bongo unazikuta around 30milion
 
Back
Top Bottom