K king90 JF-Expert Member Apr 18, 2014 368 215 Mar 25, 2015 #1 Wakuu naombeni ushauri kati ya hizi gari mbili ipi ni bora zaidi kwa kuzingatia ulaji wa mafuta, spare parts na nguvu.
Wakuu naombeni ushauri kati ya hizi gari mbili ipi ni bora zaidi kwa kuzingatia ulaji wa mafuta, spare parts na nguvu.
Mayu JF-Expert Member May 11, 2010 6,637 10,721 Feb 14, 2021 #3 Kwa uzoefu wangu nenda na “gari za kuhongwa”( in makonda voice) Ist
Crumpy Crumper JF-Expert Member Dec 20, 2016 2,351 3,295 Feb 17, 2021 #4 Terios KID haitaki shida na engine yake ya pikipiki CC zake 650
A A.Ngindo JF-Expert Member Apr 6, 2012 276 98 Feb 23, 2021 #5 Crumpy Crumper said: Terios KID haitaki shida na engine yake ya pikipiki CC zake 650 Click to expand... labda anunue terios plain la cc1290 kidogo lina uimara
Crumpy Crumper said: Terios KID haitaki shida na engine yake ya pikipiki CC zake 650 Click to expand... labda anunue terios plain la cc1290 kidogo lina uimara