Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,393
Nina mahitaji ya gari aina yaToyota harrier lakini kwa kuwa humu kuna wadau wa haya mambo na waliowahi kutumia wanisadie hasa kwa issue ya bei kwa tz sh,fuel consumption,kupatikna kwa vipuri nk,sitaki kuagiza gari nje,nimeishalizwa,nanunua hapa hapa.Najua ninaweza kutopata za rangi hizi lakini nataka aina hiyo,wauzaji kazi kwako.Bei isiwe katika USD iwe katika sh na specification zake