Toyota harrie lexus inauzwa mwanza

Toyota harrie lexus inauzwa mwanza

rodgers123

Senior Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
180
Reaction score
152
Habari zenu wa-ndugu.

Gari ya Toyota Harrie Lexus inauzwa Mwanza kwa bei ya Milioni 32.
Model : 2007
CC : 2400cc
Engine type: VVTI
KM: 87,000KM
COLOR: BLACK
LEATHER SEAT. Plus other bling-bling. Imetoka week moja imepita na haina dalali.
Kam uko interesting njoo ni PM. Tutaelewana zaidi na wapi pa kuiona.!

Shukrani.
 

Attachments

  • IMG-20180124-WA0002.jpg
    IMG-20180124-WA0002.jpg
    123.3 KB · Views: 127
  • IMG-20180124-WA0005.jpg
    IMG-20180124-WA0005.jpg
    88.5 KB · Views: 126
  • IMG-20180105-WA0010.jpg
    IMG-20180105-WA0010.jpg
    120.8 KB · Views: 146
  • IMG-20180105-WA0011.jpg
    IMG-20180105-WA0011.jpg
    121.1 KB · Views: 143
Mkuu nashukuru kwa ushauri. Japo kama huna pesa usiwashwewashe kujifanya unajua mambo. Angalia gari ya mwaka 2007 unalipa ushuru kiasi gani TRA. Kama unaitoa hii gari kwa ushuru wa milioni 13 kila kitu. Uje kuuza 15m labda uwe na Utito kidogo. Kwenye hiyo site angalia either ukute gari imeshatumika miaka kadhaa au unaambiwa haijalipiwa ushuru. Means ukalipie ushuru mwenyewe. Then usikurupuke. By the way kama una gari kama hiyo ya 2007 ni PM nitakuja kuinunua faster.
 
Siyo mtaalamu wa magari lakini nadhani nimeshawahi kuona gari la namna hiyo.
gari kasahihisha huyo jamaa pale juu jina lake halisi ila... kusema toyota harrier lexus unaelewa fasta tu.

Ni Lexus RX.
 
Sawa ndugu. Tatizo kuna watu wako humu just ku follow page na kuandika negativity. Kama unapesa na unaitaka then unauliza. Lakini sio mara mbona nyembamba.. nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom