hizo ni class mbili za magari zilizoundwa kwa matumizi tofauti....Linganisha kati ya haya yafuatayo.
Ford Ranfer 3.2 wildtrac
Volkswagon Amarock
Common rail,turbo diesel toyota hilux
Mitsubish Triton
Nissan Navara.
Kwa durability na yenye uwezo wa kuhimili barabara ngumu za kiafrika hakuna anaemchallenge Toyota hilux hapo. Ukitaka power na stability nenda for Nissan Navara, japo linakufa sana ball joints za mbele. nyingi utazikuta zimelalia tairi za mbele. ukitaka lenye uwezo wa kuvuta trailler bila kuhustle nenda for ford ranger. Ukitaka European style amarock....Mitsubish amezingua kwenye engine capacity.....yeye amejenga body kubwa kisha akaweka engine ya 2.4 cc.
ford ranger haliwezi mishe za off roading. kwa mwonekano wa nje ni gari ya kibabe ila ukiliingiza porini unaweza ukaliacha uko uko.