Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,610
- 8,736
Ili suala linanipa shida sana hapa JF.
Zikiwa mada zenye mambo ya imani utashangaa wameandika kiarabu wakati mimi sielewi hiyo lugha.
Pili wanachonichosha unaweza kubishana au kukueleza mfano naweza kuleta mjadala kuhusu IST ya Toyota na imani ukashangaa wameingizia Aya na kiarabu juu wakati aviingiliani.
Mfano leo ukitafuta ukweli kuhusu Yesu alivyofika India utaelezwa kwa maelezo.
Ila ukitafuta maelezo kwanini Boko Haram au Al Qaeda wanafanya haya utaona maneno ya kiarabu muda si mfupi na Aya. Kwanini msieleze kuwa wale ni majangiri jibu tosha.
Tujirekebisha waislamu tukiwa Japan tujibu Kijapani, tukiwa Tanzania tujibu kitanzania.
Sio kueleza mambo ya Urusi unaniandikia Идиоты JF
Zikiwa mada zenye mambo ya imani utashangaa wameandika kiarabu wakati mimi sielewi hiyo lugha.
Pili wanachonichosha unaweza kubishana au kukueleza mfano naweza kuleta mjadala kuhusu IST ya Toyota na imani ukashangaa wameingizia Aya na kiarabu juu wakati aviingiliani.
Mfano leo ukitafuta ukweli kuhusu Yesu alivyofika India utaelezwa kwa maelezo.
Ila ukitafuta maelezo kwanini Boko Haram au Al Qaeda wanafanya haya utaona maneno ya kiarabu muda si mfupi na Aya. Kwanini msieleze kuwa wale ni majangiri jibu tosha.
Tujirekebisha waislamu tukiwa Japan tujibu Kijapani, tukiwa Tanzania tujibu kitanzania.
Sio kueleza mambo ya Urusi unaniandikia Идиоты JF