Toyota crown

Toyota crown

Hawajaeleza kwa uzef yaan mtu hana lakini anatoa maelezo ukimuuliza in details hajui, thats y nataka anae imiliki kabisa atuoe uzoef
Unataka kujua nini? Tuna Crown home zaidi ya miaka.

1. Reliability: Iko poa sana.
2. Vipuli: Vipo kama upo Dar sijui mikoani.
3. Engine: Haina shida, Power hajawaizingua.
4. Common Problems: Kwetu issue kubwa labda suspension kwasababu njia ilikua mbaya. Kama 95% mkeka utaepuka ili tatizo.

Kama huna stress za mafuta na pesa za service, gari kali. Period.
 
Unataka kujua nini? Tuna Crown home zaidi ya miaka.

1. Reliability: Iko poa sana.
2. Vipuli: Vipo kama upo Dar sijui mikoani.
3. Engine: Haina shida, Power hajawaizingua.
4. Common Problems: Kwetu issue kubwa labda suspension kwasababu njia ilikua mbaya. Kama 95% mkeka utaepuka ili tatizo.

Kama huna stress za mafuta na pesa za service, gari kali. Period.
100%
Pia mwambie kama anapenda mambio hapo ndio nyumbani. Ukigusa tu 180 hii.
 
Unataka kujua nini? Tuna Crown home zaidi ya miaka.

1. Reliability: Iko poa sana.
2. Vipuli: Vipo kama upo Dar sijui mikoani.
3. Engine: Haina shida, Power hajawaizingua.
4. Common Problems: Kwetu issue kubwa labda suspension kwasababu njia ilikua mbaya. Kama 95% mkeka utaepuka ili tatizo.

Kama huna stress za mafuta na pesa za service, gari kali. Period.
Kwanza service ni kias gani?! Mbna mafundi wengi wanasema ni kawaida sana 150k unafanya service standard sana, na kuhusu vipuli sijajua kwa suspension ila kwa gear box niliuliza ni 850k engene completely 4gr 2.5 plugs og inarange 100k na ukifunga unasahau. Nahitaji kujua pia kama ukiweka mafuta kwa huku mikoani na sher zetu hz octain number ni low haiwez kuleta shida kwenye engene?
 
Kwanza service ni kias gani?! Mbna mafundi wengi wanasema ni kawaida sana 150k unafanya service standard sana, na kuhusu vipuli sijajua kwa suspension ila kwa gear box niliuliza ni 850k engene completely 4gr 2.5 plugs og inarange 100k na ukifunga unasahau. Nahitaji kujua pia kama ukiweka mafuta kwa huku mikoani na sher zetu hz octain number ni low haiwez kuleta shida kwenye engene?
Ilikuaje hadi ukaulizia gearbox?
 
Maana niko dilema kati ya subaru Forester sh5 au Toyota crown so nataka nikifanya maamuz yawe ya busara sana
Kwa haya maelezo yako nenda na crown. Lakini kama kipato chako sio kizuri basi achana nayo
 
Ilikuaje hadi ukaulizia gearbox?
Kujua tu may be inaweza ikafa so nikahitajbkujua bei zake, and also wakat nanunua rumion sikuuliza baadae nikaja kuambiwa gearbox ikifa ni 3m + ,,,,,,, aloo niliitunza kama roho 😆, nashukuru haijawah kisumbua hata
 
Back
Top Bottom